Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Humu tumejaa Manyumbu Utdmkuu mbona na mimi timu yangu hiyo
Inadhihirisha ndo timu yenye mashabiki wengi duniani na waliobaki wote ni Anti-Man Utd
.........
Humu tumejaa Manyumbu Utdmkuu mbona na mimi timu yangu hiyo
Hahaha kule likes atapata kama doziUkitaka za kununua nenda jukwaa la siasa yaani kule unaweza kukaa mwezi hujapata hata moja


We nawe toka lini Briz akawa Manfongo??Man fongo hajui hayo
Baelezee huyo jamaaSasa na wewe ndo uwe unatoa likes za kutosha.
Hii ndo torati ya hapa Kf
Makaveli anakazia sana swala la wewe kuwa manfongo kunani kwani na pacha?
Mmmh sidhaniHuyo ni zungu la jani
Haha ulinzi wa taarifaMmmmh ulinzi gani kwa mfano??
AsanteHongera...
Genda hekamkuu mambo ya yanga tuyaache maana unanikumbusha machungu


Asante.......ilete
Peleka jukwaa la matangazo basiTUNATOA HUDUMA ZA GPS CAR TRACKING SYSTEM, HD CCTV CAMERAS, FINGER PRINT ATTENDANCE SYSTEM, ELECTRIC FENCE&NETWORKING SOLUTION KWA BEI NAFUU KABISA. CONTACT US: 0743000027
HakunagaHapo ubinafsi lazima asee hainaga u-man fongo hiyo![]()
nakusikia sema usiogope avatarGenda heka![]()