shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ngoja tuone na leoYule ndo muua timu # 1
Km nilivyoahidi Siku ile km angepangwa sitaangalia mpira
Naona Domourinho kanisikia
........
Ngoja tuone na leoYule ndo muua timu # 1
Km nilivyoahidi Siku ile km angepangwa sitaangalia mpira
Naona Domourinho kanisikia
........
Fellain naye yuko benchYule ndo muua timu # 1
Km nilivyoahidi Siku ile km angepangwa sitaangalia mpira
Naona Domourinho kanisikia
........
Ngoja tuone na leo
Haijalishi matokeoFellain naye yuko bench
Tayari nmeshaenda kumsabahi

vipi na substitution, Mhkitarian atakuwepo?
Bila mashabiki kupaza sauti zao, nadhani uamuzi huu usingefanyikaYule ndo muua timu # 1
Km nilivyoahidi Siku ile km angepangwa sitaangalia mpira
Naona Domourinho kanisikia
........
Hawa tunaokunywa pamoja hatujuwani majina yetu tunayotumia humu JF. Nikiweka picha tu watanifahamuHahaha weka picha
Sub iko poa pia![]()
Hayupo
............

Huku kwetu umeme umekata toka asubuhiDakika 45 za kwanza zimeanza
Hahahahaha kweli wewe ni mukongomaniCopy and paste
Eti jana usiku mwizi kavunja mlango kwa Mchagga
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabidi
na Mchagga amke nakumuuliza unatafuta nini anamjibu hela ndipo alipoanza nae kutafuta nae
maana hata hela ya kula Jana hakua
nayo alichoka zaidi alipomuliza una uhakika uliweka humu?
Mchagga hapendagi utani na kitu hela!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Pole, sisi ndio umerudi muda si mrefuHuku kwetu umeme umekata toka asubuhi
Nyie si mnakaa Karibu na vigogo ndiyo maana umerudi mapemaPole, sisi ndio umerudi muda si mrefu
Mbona wanaolewa na maraisi wa nchi hiiWalimu tuna hali ngumuu walimu
Na sisi tuna hali ngumuu walimu
Tutazua kitimutimuu walimu
Hadi wizara ya elimuu walimu
Walimu bana wanapitia mengi sana ni kama hakuna anaewajali kabisa
Vigogo wapi hao tenaNyie si mnakaa Karibu na vigogo ndiyo maana umerudi mapema
Mkuu watu watajua unapokaa na watakufahamu wewe ni naniVigogo wapi hao tena