Makapuku Forum

Ivi kwamfano mtu akianzisha thread humu JF akaipost ndo haifutiki tena au ? Labda kwa mfano nimebadili mawazo kulingana na nilichokiandika sasa nataka kukitoa, inakuwaje apo ?
Thread haifutiki /post ya kwanza unachoweza kufanya ni kuedit kwa kuyaondoa maneno yote isipokuwa uweke herufi 1 tu(can't be empty)

Post zingine zote una uwezo wa kudelete kwa kutumia option ya DELETE
.............
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…