makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,571
Allah Akbar1985 - Tetemeko kubwa kabisa kuwahi kutokea Amerika ya Kaskazini laikumba Nchi ya Mexico na kuua Maelfu ya watu na Majengo takribani 400 yalidondoka.
Cha kushangaza, Tetemeko hilo liliharibu hospitali moja nchini humo, lakini katika wodi ya akina mama waliojifungua lilifika lakini halikuleta madhara kwa watoto wachanga waliokuwa katika wodi ile. Watoto zaidi ya 100 wote walipona bila ya kudhurika.
Naona unaanza kuelewa elewa lakiniMpaka uzoee, hata mimi nilisumbuka sana kuendana na kasi, mpaka saa sijagain kivile
1952 - Marekani yamzuia Mchekeshaji maarufu, Charlie Chaplin kuingia nchini mwao baada ya safari yake ya Uingereza.
Charlie Chaplin anabaki mmoja kati ya wachekeshaji bora wa wakati wote kuwahi kutokea katika Tasnia ya Uchekeshaji.
Tatizo ni kwamba unapokuwa umebanwa na majukumu ukija kurudi unakuta kuna post mpya zaidi ya 2k, kwa hapo lazima upotee namna ya kuingia na kuendeleaNaona unaanza kuelewa elewa lakini
1978 - Visiwa vua Solomon vyajiunga na Umoja wa Mataifa.
Naona hizo verse ametutea sisi wadada kwakweli, pia Tupac alikuwa anampenda sana mama yake aisee so kuimba hivyo sishangai. RIP PacLeo tuchungulie hii
Wimbo:keap ya head up
Msanii:2pac
Verse:1
Some say the blacker the berry, the sweeter the juice
I say the darker the flesh then the deeper the roots
I give a holler to my sisters on welfare
Tupac cares, if don't nobody else care
And uhh, I know they like to beat ya down a lot
When you come around the block brothas clown a lot
But please don't cry, dry your eyes, never let up
Forgive but don't forget, girl keep your head up
And when he tells you you ain't nothin' don't believe him
And if he can't learn to love you you should leave him
Cause sista you don't need him
And I ain't tryin to gash up, I just call em how I see em
You know it makes me unhappy
When brothas make babies, and leave a young mother to be a pappy
And since we all came from a woman
Got our name from a woman and our game from a woman
I wonder why we take from our women
Why we rape our women, do we hate our women?
I think it's time to kill for our women
Time to heal our women, be real to our women
And if we don't we'll have a race of babies
That will hate the ladies, that make the babies
And since a man can't make one
He has no right to tell a woman when and where to create one
So will the real men get up
I know you're fed up ladies, but you gotta keep your head up
Namkubali sana Huyu
Hapo sawa, vosiwa vipo mabibo Beach
Sijajua tatizo lilikuwa ni nini mkuuTatizo nini?
Asante mkuu mussolinLeo katika Historia Orijino:
Kwa udhamini Mnono wa Rooney na Mourinho, niwatakieni Siku njema.
Bye
1985 - Tetemeko kubwa kabisa kuwahi kutokea Amerika ya Kaskazini laikumba Nchi ya Mexico na kuua Maelfu ya watu na Majengo takribani 400 yalidondoka.
Cha kushangaza, Tetemeko hilo liliharibu hospitali moja nchini humo, lakini katika wodi ya akina mama waliojifungua lilifika lakini halikuleta madhara kwa watoto wachanga waliokuwa katika wodi ile. Watoto zaidi ya 100 wote walipona bila ya kudhurika.
Achana kabisa mutu inaitwa Kigli siasa uchwara zinamuumiza kichwa....ana stress na uchungu na nchi yakeHatarii kwelikweli
Kweli hii inawahusu wadada, ila hata sisi wa upande wa pili kuna cha kujifunza...Naona hizo verse ametutea sisi wadada kwakweli, pia Tupac alikuwa anampenda sana mama yake aisee so kuimba hivyo sishangai. RIP Pac