shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Sep 17, 2016 #107,981 Sweetiepie said: Mbona mimi sijauona lakini? ni pag ya ngapi niutafute!!? Click to expand... Nenda ya 99
Sweetiepie said: Mbona mimi sijauona lakini? ni pag ya ngapi niutafute!!? Click to expand... Nenda ya 99
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 17, 2016 #107,982 QUIGLEY said: Upi? Click to expand... Wahaya wanabishana pale sujui sijaelewa
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 17, 2016 #107,983 shululu said: Nenda ya 99 Click to expand... Basi nimeshachelewa ntailike tu page kesho...usiku mwema jirani
shululu said: Nenda ya 99 Click to expand... Basi nimeshachelewa ntailike tu page kesho...usiku mwema jirani
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,269 Sep 17, 2016 #107,984 Sweetiepie said: Wahaya wanabishana pale sujui sijaelewa Click to expand... Haha nimeikota mahali wahaya wamefungua uzi wao basi watu wanawasagia balaa
Sweetiepie said: Wahaya wanabishana pale sujui sijaelewa Click to expand... Haha nimeikota mahali wahaya wamefungua uzi wao basi watu wanawasagia balaa
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Sep 18, 2016 #107,985 Sweetiepie said: Basi nimeshachelewa ntailike tu page kesho...usiku mwema jirani Click to expand... Nawe pia
Sweetiepie said: Basi nimeshachelewa ntailike tu page kesho...usiku mwema jirani Click to expand... Nawe pia
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 18, 2016 #107,986 QUIGLEY said: Haha nimeikota mahali wahaya wamefungua uzi wao basi watu wanawasagia balaa Click to expand... Hahahaha
QUIGLEY said: Haha nimeikota mahali wahaya wamefungua uzi wao basi watu wanawasagia balaa Click to expand... Hahahaha
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Sep 18, 2016 #107,996 Habari za jumapili wapendwa.... Karibuni tuangalie yote yaliyojiri katika kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yaliyotufikia asubuhi ya Leo. Ni kwa udhamini wa kimataifaaaaaaaaaaaaa chini ya Hamisi Tambwe
Habari za jumapili wapendwa.... Karibuni tuangalie yote yaliyojiri katika kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yaliyotufikia asubuhi ya Leo. Ni kwa udhamini wa kimataifaaaaaaaaaaaaa chini ya Hamisi Tambwe