sacajo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 1,385
- 4,493
Daaah.....,dream yako iko wapii"I have a drema that i will grab my 108K" in Martin Luthers voice![]()
![]()
![]()
![]()
Daaah.....,dream yako iko wapii"I have a drema that i will grab my 108K" in Martin Luthers voice![]()
![]()
![]()
![]()
Asante sana AnkaliHongera sana ankali
Cobblepots we nakuelewa sana halafu unapenda mziki kweli... hadi Nat King Cole!! vipi unamuelewa na Toni Bennet na kibao chake cha Fly me to the moon? nae alikuwa anaimba Jazz au Frank Sinatra? au The drifters na kibao chao cha "under the boadwalk"ni shidaaaNimefurahi sanaaaaaaaa.
Umenikumbusha Nat King Cole na Sarah Vaughan.
Saa hizi namsikiliza Sarah Vaughan daaah good old music.
Yanini??Pole
Ndio maana yakeHiyo inaitwa kampa kampa tena
Hakika!Umedakwa leoo![]()
![]()

Sacajo kapole...Hebu muanzie maana me amenishinda

Ya kukosa 108kYanini??
Nimekusemea wewe hapo si ndio ulikuwa una ndoto za 108kDaaah.....,dream yako iko wapii

Haya lala salamaUsiku mwema makapuku wenzangu......Mungu akijaalia keshoo....
Cobblepots we nakuelewa sana halafu unapenda mziki kweli... hadi Nat King Cole!! vipi unamuelewa na Toni Bennet na kibao chake cha Fly me to the moon? nae alikuwa anaimba Jazz au Frank Sinatra? au The drifters na kibao chao cha "under the boadwalk"ni shidaaa
Nzuri sana nsekwa, ni za woteHabari za usiku, nawapongeza kwa kufikisha 108k
Nawe piaUsiku mwema makapuku wenzangu......Mungu akijaalia keshoo....
Omuhaya akagamba ti: Bahaya twemanye. Bana bange mwayehulilila. Nalekelela aha!
Poleni sana, mjitambue dhidi ya ccm, lakini sisi watanzania tupo pamoja nanyi.
Asante
acheni story kachangieni tetemeko kwenu.mmetusumbua weeee kumbe masikini wa kutosha.kwenye TV nyumba za bukoba mjini tumeona za tope kibao.asante tetemeko labda hawa inshomile watapunguza majigambo
Si ungesubiri pakuche ndio uchangie mkuu!!
Unaona sasa umeandika pumba za hatari!!!
Nzuri sana nsekwa, ni za wote
Kukosa 108kYanini??