sacajo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 1,385
- 4,493
Mmmmh.....mbona sasa hiyo balaaWengine tumeanza job na 22.
Wataisoma nambaNa kuhama kwa Payet katka dirisha dogo la usajili(January) kupo pia
![]()
![]()
![]()
![]()
Hamna 23 bhaana LOlMmmmh.....mbona sasa hiyo balaa

Hata moja ya kuwakilishaAtatoa ya forum Zima
Ngoja ashinde atakuja tu
akishinda anakuja hapa anajifanya mchambuzi

AmekimbiaJonax kaona
Time will tellJonax kaona
YupoAmekimbia
Anasoma tu hapa, ila hachangiiakishinda anakuja hapa anajifanya mchambuzi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndio hivyo umeisha shangaa![]()
nilitaka nishangae
Acha unaa wewe...Vp Mbona makelele au umemuona POGBA original![]()
![]()
![]()
![]()
Weka PichaAcha unaa wewe...
Hili kombe letu
Naona usajili mpya wa Leicester wa yule muAligeria Sliman ameanza leo mechi ya kwanza na katupia mbili.Wataisoma namba


Unataka upewe wewe nini??Hata moja ya kuwakilisha
Mahrez anaenda barca......vardy anaenda sijui wapi.......huyo islam mabeki hawajaanza kumkamiaNaona usajili mpya wa Leicester wa yule muAligeria Sliman ameanza leo mechi ya kwanza na katupia mbili.
Hivyonaona kuna uwezekanao wa Mahrez na Vardy kubaki pale
wee na wewe uko wapi???
