Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Mimi nipo ChitChat na Jukwaa la siasa napitaga mara moja moja kukiwa na ishu hot, MMU huwa napita nasoma thread za watu najichekea... linalonigusa nachangia nasepa...na tangu nijiunge JF sijawahi kutoa Uzi kama uzi zaidi ya humu tu ila segment ya Old is gold.Jamaaa anapenda sifa sana yule hata kwa vitu vya kuiga/kukopi
Kila jukwaa yupo....ukiona mtu ana mathread kila jukwaa ujue wanatafuta sifa/umaarufu na kujifanya much know
Binafsi nipo chit chat,fasheni na Jamii photos sababu ndo mambo ninayoyapenda na kuyajua + kuyamudu
...................
Nani aliyeiga huyo.....au kingongo???Kumbe kuna njemba mpenda sifa kaiba kipindi chetu cha Leo katika historia
Tutaona mengi
Lakini kimemshinda sababu kichwani hayupo vizuri kimatukio zaidi ya kukopi
Top Ten inaonekana ngumu ndio maana hawajaiga
Kuiga ni jambo moja ubora/mvuto ni jambo lingine ndio maana Wakongwe walituiga na kuanzisha VF kisha ikafa kifo cha mende
...................
Morning JJMorning family
Morning cwtpMorning.....
Ambayo leo ni siku yakeMimi nipo ChitChat na Jukwaa la siasa napitaga mara moja moja kukiwa na ishu hot, MMU huwa napita nasoma thread za watu najichekea... linalonigusa nachangia nasepa...na tangu nijiunge JF sijawahi kutoa Uzi kama uzi zaidi ya humu tu ila segment ya Old is gold.
Nimeishakukumbusha hivyoDuuh afu nilishasahau....
Asante kwa magazetiView attachment 401824View attachment 401825View attachment 401826
Asanteni sana kwa kuwa pamoja nami asubuhi hii ya Leo, shukrani za dhati zitufikieTeamWekaPicha chini ya mwenyekiti Mussolin5
Muwe na sabato njema na weekend njema
Niite Jimena Jimenes
Ciao
Mjini shulee
Duh sikuwa na habariKumbe kuna njemba mpenda sifa kaiba kipindi chetu cha Leo katika historia
Tutaona mengi
Lakini kimemshinda sababu kichwani hayupo vizuri kimatukio zaidi ya kukopi
Top Ten inaonekana ngumu ndio maana hawajaiga
Kuiga ni jambo moja ubora/mvuto ni jambo lingine ndio maana Wakongwe walituiga na kuanzisha VF kisha ikafa kifo cha mende
...................
Uko vizuriMimi nipo ChitChat na Jukwaa la siasa napitaga mara moja moja kukiwa na ishu hot, MMU huwa napita nasoma thread za watu najichekea... linalonigusa nachangia nasepa...na tangu nijiunge JF sijawahi kutoa Uzi kama uzi zaidi ya humu tu ila segment ya Old is gold.
Ahsante kwa Magazeti Katibu Mkuu!View attachment 401824View attachment 401825View attachment 401826
Asanteni sana kwa kuwa pamoja nami asubuhi hii ya Leo, shukrani za dhati zitufikieTeamWekaPicha chini ya mwenyekiti Mussolin5
Muwe na sabato njema na weekend njema
Niite Jimena Jimenes
Ciao
Yupi huyo?Jamaaa anapenda sifa sana yule hata kwa vitu vya kuiga/kukopi
Kila jukwaa yupo....ukiona mtu ana mathread kila jukwaa ujue wanatafuta sifa/umaarufu na kujifanya much know
Binafsi nipo chit chat,fasheni na Jamii photos sababu ndo mambo ninayoyapenda na kuyajua + kuyamudu
...................