Ukiingia soma post ujue uzi umeishia wapi kabla ya kuquote mbona wengine huu ujanja wanajua
Shida ni pale mtu anapoingia na kiherehere cha kuquote post kuanzia alipoishia mara ya mwisho
Sijamind
Huwa km kuna kitu "muhimu" lazima niongee si unajua wapya km huyo soja wana jifunze
Yameisha basi
Naona unataka kurudi kwenu Congo maana waCongo kwa kususa
Sijamind
Huwa km kuna kitu "muhimu" lazima niongee si unajua wapya km huyo soja wana jifunze
Yameisha basi
Naona unataka kurudi kwenu Congo maana waCongo kwa kususa