Makapuku Forum

1965 - Dmitry Medvedev anazaliwa.

Ni waziri Mkuu wa sasa wa Nchini Urusi na ambaye Alishawahi kuwa Rais wa 3 wa Nchi hiyo.

Yeye na Vladmir Putin ni watu wawili ambao huwa wanabadilishana uongozi.

Mmoja akiwa Rais mwingine ni Waziri Mkuu, hivyo hivyo daima hubadilishana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…