Nilikuwa namkubali sana huyu mtuNUKUU NO 2#
Mauaji ya kimbali barani Africa hayajapewa uzito unaostahili kama mauaji ya kimbali ulaya au mauaji ya kimbali Uturuki katika upande mwingine wa Dunia.
Bado Kuna hali ya unyanyapaa dhidi ya watu wa Africa na matatizo ya Africa
Maneno yalitamkwa na Boutros Boutros -Ghali.
Boutros alizaliwa Nov 14,1922, ni mwanasiasa wa Misri na mwadiplomasia aliyekuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa kuanzia 1992 hadi Dec 1996.
Ni mwanataaluma na aliwahi kuwa naibu waziri wa mambo ya nje wa Misri, Aliiongoza UN katika wakati wa changamoto nyingi Duniani yakiwemo machaffuko ya Yugoslavia na Rwanda
Yes I do..... Na nilishapost kusema kuwa kuna mtu namtafutaAhsante katibu wangu, Did u miss me?
NUKUU NO 2#
Mauaji ya kimbali barani Africa hayajapewa uzito unaostahili kama mauaji ya kimbali ulaya au mauaji ya kimbali Uturuki katika upande mwingine wa Dunia.
Bado Kuna hali ya unyanyapaa dhidi ya watu wa Africa na matatizo ya Africa
Maneno yalitamkwa na Boutros Boutros -Ghali.
Boutros alizaliwa Nov 14,1922, ni mwanasiasa wa Misri na mwadiplomasia aliyekuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa kuanzia 1992 hadi Dec 1996.
Ni mwanataaluma na aliwahi kuwa naibu waziri wa mambo ya nje wa Misri, Aliiongoza UN katika wakati wa changamoto nyingi Duniani yakiwemo machaffuko ya Yugoslavia na Rwanda
Aisee...miss u too katibu wangu, hebu weka picha basiYes I do..... Na nilishapost kusema kuwa kuna mtu namtafuta
My dadaYes I do..... Na nilishapost kusema kuwa kuna mtu namtafuta
Mashujaa wasioimbwa kwa kuwa walikuwa mlengo wa kushoto!NUKUU NO 2#
Mauaji ya kimbali barani Africa hayajapewa uzito unaostahili kama mauaji ya kimbali ulaya au mauaji ya kimbali Uturuki katika upande mwingine wa Dunia.
Bado Kuna hali ya unyanyapaa dhidi ya watu wa Africa na matatizo ya Africa
Maneno yalitamkwa na Boutros Boutros -Ghali.
Boutros alizaliwa Nov 14,1922, ni mwanasiasa wa Misri na mwadiplomasia aliyekuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa kuanzia 1992 hadi Dec 1996.
Ni mwanataaluma na aliwahi kuwa naibu waziri wa mambo ya nje wa Misri, Aliiongoza UN katika wakati wa changamoto nyingi Duniani yakiwemo machaffuko ya Yugoslavia na Rwanda
Aisee...miss u too katibu wangu, hebu weka picha basi
Habari ya wewe?My dada
Mashujaa wa karatasi v Mashujaa wa ukweliMashujaa wasioimbwa kwa kuwa walikuwa mlengo wa kushoto!
Itifaki imezingatiwa!Ni mwenyekiti wa TeamWekaPicha anaitwa Mussolin5
hahaha...inatosha!
Habari njema sana jimena, hofu kwako uliyembali na upeo wa macho yanguHabari ya wewe?
Mara nyingi mashujaa wa kweli huwa michango yao inapuuzwa na Mataifa ya Magharibi.Mashujaa wa karatasi v Mashujaa wa ukweli
..........
NUKUU NO 3#
Nchi hizi za Marekani na Uingereza wamejichukulia mamlaka ya kuamua kwa niaba yetu kuhusu maendeleo ya Dunia
Na hata kuingilia masuala yetu ya ndani na kupandikiza kile wanachokiita mabadiliko ya kiutawala.
Maneno haya yamepata kutamkwa na Rais wa sasa wa Zimbabwe, ROBART Gabriel Mugabe. Mugabe alizaliwa Feb 21,1924, ni mwanamapinduzi aliyewahi kuongoza kundi la wapigania uhuru wa nchi hiyo kutoka kwa walowezi wa Uingereza.
Ni mwenyekiti wa Zimbabwe Africa National Union -Patriotic Front (ZANU-PF) tangu 1975, hiki ni Chama kilichopigania uhuru wa Zimbabwe
Komredi Mugabe atafia madarakani.NUKUU NO 3#
Nchi hizi za Marekani na Uingereza wamejichukulia mamlaka ya kuamua kwa niaba yetu kuhusu maendeleo ya Dunia
Na hata kuingilia masuala yetu ya ndani na kupandikiza kile wanachokiita mabadiliko ya kiutawala.
Maneno haya yamepata kutamkwa na Rais wa sasa wa Zimbabwe, ROBART Gabriel Mugabe. Mugabe alizaliwa Feb 21,1924, ni mwanamapinduzi aliyewahi kuongoza kundi la wapigania uhuru wa nchi hiyo kutoka kwa walowezi wa Uingereza.
Ni mwenyekiti wa Zimbabwe Africa National Union -Patriotic Front (ZANU-PF) tangu 1975, hiki ni Chama kilichopigania uhuru wa Zimbabwe
Ni kweli hata Nyerere haimbwi huko nchi za MagharibiMara nyingi mashujaa wa kweli huwa michango yao inapuuzwa na Mataifa ya Magharibi.
Labda uwe mhafidhina ndio utapaishwa hata kama ulifanya madudu.
Maisha bila unafki hayaendi.Ni kweli hata Nyerere haimbwi huko nchi za Magharibi
Wanawaimba kina Tony Blair ..mashujaa wa vurugu
........