shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Asante kwa news, nawe pia jumapili njema
Asante kwa news, nawe pia jumapili njema
Nawe pia mpendwa
Wahaya kwa sifa
Ndio maana tetemeko limrwafuata huko kwao
POLE YAO
....

Hhhmm... Wacha nijigunie tu...
SureHapo sifa weka kando...hilo ni suala lingine kabisa
Kanda ya Ziwa ndo mrembo wao huyoHhhmm... Wacha nijigunie tu...
"Mrembo gani huyu.. Wakat nikikutana nae mtaani wala moyo haushituki"
Nimewaza kwa sauti.
Hhmm.. Sio kweli, kwenye tangazo labda redio au tv kukuhamasisha uangalie kipind fulani. Hawezi kusema hi! I am me!! Kwan shilole yule..Ndo maana anajiitaga Mimi![]()

Sasa huoni, nilivyokuwa nakutreat enz za ndoa..Wanasema mwanaume anayempenda na kumjali mama yake ni rahisi sana kufanya hivyo kwa mke wake. Hongera
AhsanteWanasema mwanaume anayempenda na kumjali mama yake ni rahisi sana kufanya hivyo kwa mke wake. Hongera
Wapi Congolese, naona una supu ya kuku wa kenyeji.
Tulia we.. Mpyenga kamasi kwa style ya nike...Dogo umeswaki?
Unachekacheka na udenda mdomoni
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......

Hhmm,. Hawez kuwa mrembo bhana, ni wa kawaida mnoo, unaweza kuombea awe dada yake, usipate usumbufu kwa washikaj wala wewe usipate tabu ya kutamani ndugu..Kanda ya Ziwa ndo mrembo wao huyo
![]()
![]()
![]()
.........

We jamaa zober sana kasoro miguu tuTulia we.. Mpyenga kamasi kwa style ya nike...![]()
![]()
![]()
Nilishasema hakuna ndugu zako humu labda Nsekwa wa AsiaMorng ndugu zangu...
Ahalaf jamaa unanizoea kichizi humu ndani, nipe dada yako ili niwe shemeji yakoWe jamaa zober sana kasoro miguu tu
![]()
![]()
![]()
........
, ili upate nafasi ya kunitania tania shemej yako..

Utamuweza?Ahalaf jamaa unanizoea kichizi humu ndani, nipe dada yako ili niwe shemeji yako![]()
, ili upate nafasi ya kunitania tania shemej yako..
![]()
![]()
![]()
![]()
Utamuweza?
Anafanana na Mwajuma Ndalandefu
Njoo kwetu Uswaz huku Mabibo Beach umchukue
.........



weka picha