Makapuku Forum

Enzi ya doso! Sikuwahi kuona utamu wake nikaacha!!
Mi nilikaa hostel A level na masela anavuta bangi alijaribu kunivitisha lakini hakuwahi kufa nikiwa...vipisi vyake nilikuwa navifagia tu
Alikuwa anasahau maandazi gheto week nzima hadi yanaharibika ndo namshtua...alikuwa anasahau begi tukiwa kwa Mama Nrilie na nilikuwa nauchuna hadi tufike gheto kumkomesha tu
Chezea bangi

...............
 
Bangi noma..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…