briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Sep 6, 2016 #100,261 Hongera baby ake mimi .. Tukitoka hapa nikakupongeze vizuri chemba
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,100 Sep 6, 2016 #100,262 Mussolin5 said: Mshindi ni wewe!! Click to expand... Asante sana Finally nimepata haki yangu. Shukrani za dhati zimfikie Lubuva japo mpaka sasa sijisomi front page
Mussolin5 said: Mshindi ni wewe!! Click to expand... Asante sana Finally nimepata haki yangu. Shukrani za dhati zimfikie Lubuva japo mpaka sasa sijisomi front page
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,268 Sep 6, 2016 #100,263 Mussolin5 said: Iron lady wewe ndii mshindi wetu!! Fungua champagne hiyo... Click to expand... Kwelii
Mussolin5 said: Iron lady wewe ndii mshindi wetu!! Fungua champagne hiyo... Click to expand... Kwelii
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,632 Sep 6, 2016 #100,264 jonax said: Ushindi ni wako Bidada komaa upate haki yako. Au kesi niuzie mm uone Click to expand... Option ya DELETE ndo imewachanganya watu badala ya kusoma # wao wakaangalia mtu wa mwisho kwenye page Wkt post zingine zimefutwa ...............
jonax said: Ushindi ni wako Bidada komaa upate haki yako. Au kesi niuzie mm uone Click to expand... Option ya DELETE ndo imewachanganya watu badala ya kusoma # wao wakaangalia mtu wa mwisho kwenye page Wkt post zingine zimefutwa ...............
Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,652 Reaction score 25,849 Sep 6, 2016 #100,265 Jimena said: nimecheka sana swala la kukuuzia kesi Click to expand... Acha roho mbayaaa Embu nipe ushindi huo uone jinsi ntakavyoushangilia huu mwaka mzima
Jimena said: nimecheka sana swala la kukuuzia kesi Click to expand... Acha roho mbayaaa Embu nipe ushindi huo uone jinsi ntakavyoushangilia huu mwaka mzima
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Sep 6, 2016 #100,266 jonax said: Eti "navutwa" bwahahaaaaa Aliyekwambia ni nani anayatafuta ushindi namna hiii NAVUTWAAAaa Click to expand...
jonax said: Eti "navutwa" bwahahaaaaa Aliyekwambia ni nani anayatafuta ushindi namna hiii NAVUTWAAAaa Click to expand...
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Sep 6, 2016 #100,267 Bitoz said: Leta screenshot kuthibitisha ........... Click to expand... Mwanzoni ilionekana yeye, ngoja nirudi
Bitoz said: Leta screenshot kuthibitisha ........... Click to expand... Mwanzoni ilionekana yeye, ngoja nirudi
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,100 Sep 6, 2016 #100,268 QUIGLEY said: Ni wew mkuu, hongera sana Click to expand... Asante sana
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,268 Sep 6, 2016 #100,269 jonax said: Hongeraaaaaaaa Click to expand... Ni jimenaa, jecha bitoz kafuta matokeo
Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,652 Reaction score 25,849 Sep 6, 2016 #100,270 Sweetiepie said: hhjjjjj Click to expand... NavutwaaAA Hiii comment yako imenichekesha kwek...
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Sep 6, 2016 #100,271 QUIGLEY said: Hivi mbona shida hivi? 100k ni ya nani? Inasoma mara kwa musolon5 Quigley na jimena! Click to expand... Mtandao ulikuwa ni shida na post zilikuwa nyingi sana
QUIGLEY said: Hivi mbona shida hivi? 100k ni ya nani? Inasoma mara kwa musolon5 Quigley na jimena! Click to expand... Mtandao ulikuwa ni shida na post zilikuwa nyingi sana
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 35,989 Reaction score 104,470 Sep 6, 2016 #100,272 Nani huyo kabutua!!!
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,632 Sep 6, 2016 #100,273 shululu said: Mwanzoni ilionekana yeye, ngoja nirudi Click to expand... U kuangalia # Acha fix ...............
shululu said: Mwanzoni ilionekana yeye, ngoja nirudi Click to expand... U kuangalia # Acha fix ...............
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 35,989 Reaction score 104,470 Sep 6, 2016 #100,274 Mie niko mbwinde maporini.. Network ina excute simple harmonic motion(S.H.M)
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Sep 6, 2016 #100,275 Jimena said: Mmh Hii sasa kali Click to expand... Mtandao
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 35,989 Reaction score 104,470 Sep 6, 2016 #100,276 Mc u kichiz ndugu zangu
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,100 Sep 6, 2016 #100,277 briz said: Hongera baby ake mimi .. Tukitoka hapa nikakupongeze vizuri chemba Click to expand... huu ushindi ni wetu wote my baby. Nilikuahidi kuwa its either you or me Na nimekamilisha ahadi yangu kwako
briz said: Hongera baby ake mimi .. Tukitoka hapa nikakupongeze vizuri chemba Click to expand... huu ushindi ni wetu wote my baby. Nilikuahidi kuwa its either you or me Na nimekamilisha ahadi yangu kwako
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Sep 6, 2016 #100,278 Mussolin5 said: Hahaha...NEC vipi? Lubuva vipi? Kama vipi nipeni ushindi mimi Click to expand... umetisha sana kiongozi.. Mbishi ka nkurunzinza
Mussolin5 said: Hahaha...NEC vipi? Lubuva vipi? Kama vipi nipeni ushindi mimi Click to expand... umetisha sana kiongozi.. Mbishi ka nkurunzinza
Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,652 Reaction score 25,849 Sep 6, 2016 #100,279 Bitoz said: Option ya DELETE ndo imewachanganya watu badala ya kusoma # wao wakaangalia mtu wa mwisho kwenye page Wkt post zingine zimefutwa ............... Click to expand... Your genius.... Kwel kabisa... post zimefutwta ndo mana QUIGLEY akakosa ushindi. Thumbz up bro. Ila kna watu wangu huku kesho ntawatania mbayaaaa watakomaaa
Bitoz said: Option ya DELETE ndo imewachanganya watu badala ya kusoma # wao wakaangalia mtu wa mwisho kwenye page Wkt post zingine zimefutwa ............... Click to expand... Your genius.... Kwel kabisa... post zimefutwta ndo mana QUIGLEY akakosa ushindi. Thumbz up bro. Ila kna watu wangu huku kesho ntawatania mbayaaaa watakomaaa
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Sep 6, 2016 #100,280 Bitoz said: Mkuu screenshot yangu inaonesha Jimena kuondoa utata tumeni screenshots Hakuna ugomvi ........ Click to expand... Ni kweli
Bitoz said: Mkuu screenshot yangu inaonesha Jimena kuondoa utata tumeni screenshots Hakuna ugomvi ........ Click to expand... Ni kweli