Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Usihofu, nitaacha...
Embu nitokeee hapa we kingongoJiko lako la kuni we mpishi
Utameza moshi zen ujambe
![]()
![]()
![]()
........
Ipo mbona! sema naona simu ndio iko flexible zaidi naweza hata nikaingia chooni huku nachat...Tafutaga na ka pc mapema lasivyo urafiki na![]()

PC kwa muvi na kazi za kiofisi zaidi. Karibu tena shem....my wife amakuuliziaga...in Sengaz voice....
Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app


nishakaribia shem...naona speed ni kubwa mno ndo najitahidi hapa kumfikia 
Jiandae twenze2.Hotelini, lakin naogopa kwenda mwenyewe..wahudumu ni warembo sana nataka kampani yako
Kwani mm ni kuku mpaka nitage?
Naenda nae mgahawani muendelee tu kulaNgoja briz aje


Hilo ndilo linarokukosesha mkeUsihofu, nitaacha...
View attachment 395058
Hongera!!nishakaribia shem...naona speed ni kubwa mno ndo najitahidi hapa kumfikia
![]()
Ww siunaona mwenyewe jinsi wanavyonichokoza yeye na Bitoz
Hii speed inatisha sananishakaribia shem...naona speed ni kubwa mno ndo najitahidi hapa kumfikia
![]()
Watu na viinglish vyao
Cc Quigley
Silagi mgahawani, huko wanapikia mchuzi wa vyupi




ndo ukoje huo mchuzi mkuu??Hapana simuonei tena
Ww siunaona mwenyewe jinsi wanavyonichokoza yeye na Bitoz




Apumzike kwa amani