Kaishatoka, kaniambia hajiskii vizur ndio naenda kumjulia hali..
Liwezekanalo leo lisingoje kesho mpenz.. The way u treat me n upendo unaonesha kwangu ni mkubwa.. Sion hata cha kukulipa, so lolote ninalotaka kufanya kwako usinikataze, ni jukumu langu kurudisha kile unachonipa mpenz..
(Tukiwa kwenye pozi la mkumbato)