makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,597
Welcome home briz.. Himself.Hellooo fellaz, niaje humu ndani? Za masiku? Nimeimiss sana KF... naona uzi unapepea kama kawa, ndo kwanza niko nasoma post ya 88304 sa ivi sijui ntafika sa ngap huko mlipo.
Afu naona wengine wameni-wish RIP hahahahaaaa mi sijafa bana acheni hizo
Yes,asante Mkuu ina maana Huyu kwenye picha na yeye ni kapuku mwenzetu?
Ruta "shobo" lwaJina lenyewe tu latosha kumfaham huyu ndege
Habari za kiintelijensia zinasema alikuwa akitegemea kupata mtoto wa Dodi ndio maana Royal family haikuweza kustahimili1997 - Princess Diana anafariki Dunia pamoja na Dodi Al Fayed huko Paris katika ajali ya Gari.
Wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa na MI5 ( Shirika la Ujasusi la Uingereza ). Hiyo ni kutokana na Princess Diana kuwa na mahusiano na mwarabu wa Misri Dodi Al Fayed ambaye alikuwa mtoto wa Mfanyabiashara na mmiliki wa klabu ya soka ya Fulham Fc ya London.
Ikumbukwe Diana alikuwa ni mtalaka wa Prince Charles mtoto wa Malkia Elizabeth wa Uingereza.
Aliacha watoto wawili aliozaa nao na Prince Charles ambao ni Prince Harry na Prince William.
Kifo chake kiligusa wengi sana!!
Taratibu na majina ya akina ishomire aka wala seneneRuta "shobo" lwa
Asante sana Musso kwa historiaSina la ziada kutoka katika Historia, Kwa udhamini mnono wa Princess Diana.
Tumekamilisha Mwezi wa August, mwezi ambao viongozi wengi wamezaliwa. Tukutane kesho kwenye UKUTA mkiona kimya mjue ndio hivyo tena.
Pia leo ni siku ya mwisho ya dirisha la usajili barani Ulaya " Transfer Deadline Day, hivyo kwa sisi wapenda soka leo tutakuwa bize na hilo.
Byeee!!
Karibu watz wote ni makapukuasante Mkuu ina maana Huyu kwenye picha na yeye ni kapuku mwenzetu?
Poa poa pamoja sana kapuku mwenzanguKaribu sana
Cc: Jimena
Hellooo fellaz, niaje humu ndani? Za masiku? Nimeimiss sana KF... naona uzi unapepea kama kawa, ndo kwanza niko nasoma post ya 88304 sa ivi sijui ntafika sa ngap huko mlipo.
Afu naona wengine wameni-wish RIP hahahahaaaa mi sijafa bana acheni hizo
Sawa ujumbe umefikaKaribu sana, ila uwe makini na makoloni ya watu huku,....
Huku ni kusambaza upendo non stop..
Ndo nami naona ajabuTukimbizwe.. Sisi majambazi!!?
Sawa sawa ndio maana nataka kuwajua makapuku wenzanguKaribu watz wote ni makapuku
Mduwanzi huyu, naona senene hawajamsaidia kuwa na akili timam..Taratibu na majina ya akina ishomire aka wala senene
Kuwa huruPoa poa pamoja sana kapuku mwenzangu
Tangu lini kamuona Usain Bolt kashindana mbio na Le MutuzShobo lilosoma
Poa kaka, leta habariWerra vp mtu wangu
Mzembe huyo..Ndo nami naona ajabu
Kashindwa kutofautisha kati ya kitambi na mimba..Tangu lini kamuona Usain Bolt kashindana mbio na Le Mutuz
...............