shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ndiyo iliyosababisha mafuta kupanda na mpaka leo Dunia inateseka na mafuta1990 - Iraq yatangaza nchi ya Kuwait kuwa ni sehemu ya Jimbo lao.
Hali iliyopelekea kuibuka kwa vita vya Ghuba.
Ndiyo iliyosababisha mafuta kupanda na mpaka leo Dunia inateseka na mafuta1990 - Iraq yatangaza nchi ya Kuwait kuwa ni sehemu ya Jimbo lao.
Hali iliyopelekea kuibuka kwa vita vya Ghuba.
Italy alimgeuka Ujerumani na kuwa upande wa Waingereza hali iliyopelekea Ujerumani kupigwa vibaya sana kwenye vita ya kwanza ya dunia.
Mmoja ya wanaharakati mahiri wa karne ya 20Huyu jamaa alikuwa famous sana
VillerzerMkuu hii method ya kudumbukia between mchanga hivo wakati wa vita naielewa sana maana adui akijisogeza tu ni kumtungua...naskia majanga ni pale mnaporushiwa grenade ndani ni hatari
Hilo jina kulitamka ni shughuli pevu1989 - Cesar Azipilicueta anazaliwa.
Ni beki wa pembeni wa Chelsea na timu ya taifa ya Hispania.
Bahati mbaya wakamuua!!
Barcelona wakati mwingine huwa wanaua vipaji sana, dogo alikuwa vizuri1990 - Bojan Krkic anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Stoke city na timu ya taifa ya Spain.
Cc vingongoNi siku ya wazee huko Mexico.
Asante sana mkuu mussolin kwa leo katika historiaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Rashford na Man Utd sina la ziada, tukutane kesho.
Jumapili njema.
1989 - Cesar Azipilicueta anazaliwa.
Ni beki wa pembeni wa Chelsea na timu ya taifa ya Hispania.
Ni sehemu ya kampuni ya Toyota ambapo magari ya Ipsum yalizalishwa kwanzia mwaka 1995-2009.Kuna mtu alitaka kujua chanzo cha ipsum
Ndio kwani Martin Luther aliamini siku moja America itaongozwa na mtu mweusi.Na hiyo hotuba inauhusiano na urais wa Obama
Vita ya ghuba ya pili ya ndio imesababisha mafuta kupanda beiNdiyo iliyosababisha mafuta kupanda na mpaka leo Dunia inateseka na mafuta
1990 - Bojan Krkic anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Stoke city na timu ya taifa ya Spain.
Angecheza namba ya nani? ndio maana huwa walikuwa wanamtoa kwa mkopo sanaBarcelona wakati mwingine huwa wanaua vipaji sana, dogo alikuwa vizuri
miaAsante sana mkuu mussolin kwa leo katika historia
Orthodox fullback
1984 - Muhammad Naguib anafariki Dunia.
Alikuwa ni Rais wa kwanza wa Misri.
Shululu najua unamtaka mke wang lakin sasa afya yako hairuhusu, umezuiwabadaktari

Dikteta bingwaItaly alimgeuka Ujerumani na kuwa upande wa Waingereza hali iliyopelekea Ujerumani kupigwa vibaya sana kwenye vita ya kwanza ya dunia.
Baada ya hapo Hitler akaibuka kurudisha heshima ya Ujerumani.