Makapuku Forum

Mie arsenal, ila siku ile nilitaman sana liver inyanyue kwapa.. Nilikuwa mshabik wa wachezaj wao wengi, ukianza na luis garcia..

Naomba jimena unitajie hili jina katika lugha yetu ile nifarijike kidogo. "Luis Garcia"
Sana sasa bora we Arsenal
Mimi ni United wa kugala gala
Lakin nliwapenda liva vbaya mno
Chini ya kamanda wa dhiki na shda kapten mwandamizi Steven Gerrad
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…