Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,406
Ndiyo njia wanayotumia Wamarekani sasa kupambana na Zika kule Miami na Key West Florida. Kwa Anopheles anayetupa Malaria wameshashindwa au kwa vile ni biashara kubwa ya makampuni yao ya madawa?
Aisee. Kuna watu yaani wanatwanga jokes za ajabu mpaka unashangaa. Kumbe ni mentally ill uwii!!!
Hasheem hapo atoe shikamoo tuHasheem chamtoto
.............
Alikuwa na aina fulani ya gigantism. Mbaya zaidi ya kwake ilifanya mifupa yake iwe brittle na magoti yalikuwa yanavimba. Ndo maana hakuwa na impact kubwa kwenye NBA kwani alicheza kwa muda mfupi sana tena kwa kuchechemea chechemea tu!Mrefu mpaka kero
Hatari kubwaKulikuwa na mkutano mkubwa kule Cuba majuzi hapa kujadili hii ishu. Kuna nchi uchumi wao kwa kiasi kikubwa unategemea ndizi na wana wasiwasi sana hasa baada ya kuzuka ka mdudu fulani ambako hawajakapatia dawa. Cha ajabu ni kwamba yote haya ni matokeo ya wanasayansi wenyewe walipoamua kutumia ndizi za aina moja kwa kisingizio kuwa haziathiriki na magonjwa kwa urahisi. Mbaya zaidi washenzi wa kampuni kubwa la mbegu la Monsanto wanachezea DNA za mazao mbali mbali kama hawana akili nzuri. Mpaka wamechanganya DNA ya aina mojawapo ya Samaki na machungwa. Na mbegu hizi tunauziwa mpaka sisi huku Afrika. Ni hatari!
Hata hivyo miguu yake haina supuAlikuwa na aina fulani ya gigantism. Mbaya zaidi ya kwake ilifanya mifupa yake iwe brittle na magoti yalikuwa yanavimba. Ndo maana hakuwa na impact kubwa kwenye NBA kwani alicheza kwa muda mfupi sana tena kwa kuchechemea chechemea tu!
Basi ndio maana hakushine sanaAlikuwa na aina fulani ya gigantism. Mbaya zaidi ya kwake ilifanya mifupa yake iwe brittle na magoti yalikuwa yanavimba. Ndo maana hakuwa na impact kubwa kwenye NBA kwani alicheza kwa muda mfupi sana tena kwa kuchechemea chechemea tu!
Mkuu umetisha...mi mwenyewe siwaelewi wamarekani nahisi wana vipara hadi makalioniNdiyo njia wanayotumia Wamarekani sasa kupambana na Zika kule Miami na Key West Florida. Kwa Anopheles anayetupa Malaria wameshashindwa au kwa vile ni biashara kubwa ya makampuni yao ya madawa?
Lakini rekodi yake itaishi mileleAlikuwa na aina fulani ya gigantism. Mbaya zaidi ya kwake ilifanya mifupa yake iwe brittle na magoti yalikuwa yanavimba. Ndo maana hakuwa na impact kubwa kwenye NBA kwani alicheza kwa muda mfupi sana tena kwa kuchechemea chechemea tu!
Are records that important in life? Kama ni hivyo, wewe umedhamiria kuacha rekodi gani kabla watu hawajakuimbia "Parapanda italia Parapanda...?" Makapuku founder?Lakini rekodi yake itaishi milele
What is better than record?
..........
Ptredict & winAre records that important in life? Kama ni hivyo, wewe umedhamiria kuacha rekodi gani kabla watu hawajakuimbia "Parapanda italia Parapanda...?" Makapuku founder?
Hayaaa yaleteeeNi matumaini yangu kuwa wote hamjambo,
Na sasa ni wasaa wa kuyaangalia magazeti yetu ya leo kama ifuatavyo
View attachment 386696View attachment 386697View attachment 386698
Haya kwa heriView attachment 386718View attachment 386719View attachment 386721
Kwa udhamini mkubwa kabisa wa Tp Mazembe mimi sina la ziada
Niite Jimena Jimenes
Adios amigo
Atakuwa ame poteaAsante kwa magazeti, sasa Wanamtafuta JK wa nini?
Ameamka salamaJimena za kuamka
Wa ache watumbuliweMaskini mbona namuonea huruma sasa..., au na yeye wanataka wamtumbue?
Daah uyu jamaa alikuwa bonge ya populist yaanLeo katika Historia:
1954 - Rais Getulio Dornelles Vargas wa Brazil anajiua.
Ni tukio lililowashangaza wengi.