Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,243
safi mkuu inaonekana unayajua haya mambo vizuri.Umeona sasa, nilikuambia Bush Jr aka Bush the second hakuwa mbabe ila washauri wake na watu waliomzunguka ndio walikuwa wababe sana mwishowe wakampoteza.
Hata yeye Bush Sr amemuharibu sana mwanae.
Ujue Bush jr uongozi wake ulikuwa mbaya kias kwamba alitoka anapendwa na watu wacha mnoooHawakumhalibia, Bali ilikuwa plan,kumbuka ushindi wake wa magumashi dhidi ya Algore
Nabahatisha tu.safi mkuu inaonekana unayajua haya mambo vizuri.
AaahUmeona sasa, nilikuambia Bush Jr aka Bush the second hakuwa mbabe ila washauri wake na watu waliomzunguka ndio walikuwa wababe sana mwishowe wakampoteza.
Hata yeye Bush Sr amemuharibu sana mwanae.
Na watu wanaenda na kurudimbali mbinguni tu
Nakubali mzee wa USA babyUjue Bush jr uongozi wake ulikuwa mbaya kias kwamba alitoka anapendwa na watu wacha mnooo
Al gore alikosea mwenyewe angeomba re count kwenye jimbo zima la florida sasa ye alichagua tuu
Nani kakudanganya??Hahaha
Hamfikish leo
Mi nampenda Bush jrAaah
Chenney hapendwi na kila mtu sasa matokeo yake
Mimi hapaNani kakudanganya??
Hii sasa ndotoInapobidi huwa linalala
sorry hivi hata kulike post zako nakukera?Nani kasema??
Mimi wote siwapendiMi nampenda Bush jr
weka pichaMi nampenda Bush jr
Lakin daddy Bush nadhan kwenye foreign affairs alikuwa poa zaid kuliko hata clinton, obama na baby bushIlibidi Bush Jr awe Rais ili aweze kulipa kisasi na kuendeleza vile alivyoshinfwa Bush Sr.