Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Hiyo ni poa sanaaSawa basi nitaanda muda wa kuwaletea mikasa iliyovuma miaka hiyo.
Hiyo ni poa sanaaSawa basi nitaanda muda wa kuwaletea mikasa iliyovuma miaka hiyo.
Duh...jichanganye mkuu, usijikite kwa Wamarekani pekeeHahahaa
Anhaa
Mimi huwa napenda tu kujifunza kuhusu American history especialy presidential ones
Ila ukinitoa nje ya hapo nna potea
mia.Hiyo ni poa sanaa
Aah itakuwa ngumuMlale
Ndio...Aisee
HahahaDuh...jichanganye mkuu, usijikite kwa Wamarekani pekee
Kweli kabisa aiseeMka pumzikeeeee
Uchwara wanatisha sanaHahaha...masanja tumbo joto
aiseeDuh...jichanganye mkuu, usijikite kwa Wamarekani pekee
Safi sanaaZege halilali.
Weka pichaNalala sasa hivi....
Umeona sasa, nilikuambia Bush Jr aka Bush the second hakuwa mbabe ila washauri wake na watu waliomzunguka ndio walikuwa wababe sana mwishowe wakampoteza.Hahaha
Wa marakani tuu ina ntosha
Juzi nime soma memoir ya daddy Bush asee kawa laum kina chaney na rumsfeld kuwa wali muharibua utawala baby Bush
Hawakumhalibia, Bali ilikuwa plan,kumbuka ushindi wake wa magumashi dhidi ya AlgoreHahaha
Wa marakani tuu ina ntosha
Juzi nime soma memoir ya daddy Bush asee kawa laum kina chaney na rumsfeld kuwa wali muharibua utawala baby Bush
Njooni basi mnipe Assist mie nifunge ili nilale zangu.Safi sanaa
HahaaBasi uwe ananiuliza ili usipotee
Nani kasema??Mbali sana huko
Ilibidi Bush Jr awe Rais ili aweze kulipa kisasi na kuendeleza vile alivyoshinfwa Bush Sr.Hawakumhalibia, Bali ilikuwa plan,kumbuka ushindi wake wa magumashi dhidi ya Algore
PichaKuna petro halafu kuna yuda