Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Maana mimi nilikuwa mke wa pili mambo gani hayo sasa...Hahah
Lakin bora lawama kuliko fedheha
Ulilo lifanya ni sahihi
Mi nilinukuu tuHahaha
Noo kwa sabab ile unakuta msg 40,unataka zoote upitie, ujib almost zoote
Then una do haraka haraka iende tuu
Kutokuwa makin
Hao hawana diliHahaha
Naomuonaga casto mzee wa siz kitaa tuuu kila siku
Au zamaradi na gigy money
Mara kaogee![]()
![]()
![]()
![]()
HahahahaYeap akitoa![]()
Najua anavizia 87k
SunaMaana mimi nilikuwa mke wa pili mambo gani hayo sasa...
C'moon babe!
Ila tumeshamshtukiaHahahaha
Mjanja ana tuzuga
SoC'moon babe!
She needs comfort ryt now

Mkuu ukienda page ya 1 ukasoma post ya 1- 3 basi utakuwa umeshapata majibu ya swali lakoHuu Uzi unaongoza kwa wachangiaji sijapata.kuona
Hivi NINI maana ya makapuku?
Umekuja sasa...nimefarijika ghafla![]()
ngoja tuone