Cc jimenaosie nzeze
Ukiblock anakuja na ka# kengine........anazingua km kawa na profile lako analicheki kwa raha zakeMi ilikuwa too much nikablock mtu mara moja tu kwa mara ya kwanza maana alikuwa too annoying. Mi nataka nione mtu last seen yake ni saa ngap ili nijue kama atakuwa bize ama la ndio maana na mimi yangu naiacha.
SINA MBAVU NA HIKI KISA
BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE! Baada ya mwiz kuingia nyumba moja usiku kimya kimya na kuiba vitu vngi wakati anajiandaa kuondoka ghafla akadakwa mguu na dogo
DOGO: Usipoiba na begi langu la shule NAPIGA KELELE....
Habari janero!!Cc jimena
NjuliHabari janero!!
Bibi kakuonea huruma mjukuu umeishiwa nguoUMENUNUA JEANS ZAKO KAMA NNE HIV ZILE ZA MTINDO WA KUCHANIKA (CHANIKA JEANS) UMEZIFUA UMEZIANIKA UMEENDA KUTEMBEA ILE UMERUDI UNAKUTA BIBI AKO KAZISHONA ZOTE.
......................
weka pichaUMENUNUA JEANS ZAKO KAMA NNE HIV ZILE ZA MTINDO WA KUCHANIKA (CHANIKA JEANS) UMEZIFUA UMEZIANIKA UMEENDA KUTEMBEA ILE UMERUDI UNAKUTA BIBI AKO KAZISHONA ZOTE.
......................
Uso wa mbuziZa asubuhi?
_Nzur sijui huko?_
Huku kwema tuu.
Vp si ulimaliza chuo ww?
_Ndiyo kwani vp?_
Mbona hatuoni matunda yake?
_Kwani mi nilienda na miche ya mipapai au miembe au umeambiwa UDSM, DUCE na MUCE wanakodisha Mashamba ya nyanya ????????_
Hamna so hvyo umeenda mbali kaka
_Kama kilomita ngapi?_
Haya yaishe bhana...
_Ukome kwa kiherehere_
Nitukane tuu unakumbuka kuna siku nilikupa buku ya nauli?
_Nitajie namba yako ya tgo pesa nkuwekee hyo buku_
Kwani mi nimesema unilipe?
_Utajua mwenyewe ila nakutumia kwenye namba uliyonitext wee si umefanya ujinga mi nafanya upumbavu_
_Simple like dat Viherehere huwa tunawajibu hivyo!!_.....
.....................
I know thisJamani Youngblood kabadili jina!!! Anajiita Superiority Complex
alaa kumbe!!Jamani Youngblood kabadili jina!!! Anajiita Superiority Complex
Bibi zoberBibi kakuonea huruma mjukuu umeishiwa nguo
I didn't tell youI know this
Potezea
..............
Mfuate invisible PMalaa kumbe!!
Hivi ukitaka kubadili unafanyaje?
Kutoka Mombo mpaka Soni kuna jumla ya kona 42.FIX ZA BITOZ:
Tuliaminishwaga kwamba Mlima Kitonga ndo hatari zaidi hapa Bongoland kuizidi Sekenke n.k
Lakini baada ya misele yangu kule Milima ya Usambara for almost 3 yrs nikagundua Kitonga cha mtoto tu .......
Milima ya Kushoto ni balaa kubwa huwezi overtake,kuna bonge la ukungu,kona kibao kuanzia Mombo saa nzima .........magari makubwa hayapishani yaani Shambalai likikutana Manning Nice juu Mlimani busara inatumika ya kuweka gari pembeni
Kitonga ajali nyingi 7bu mahari mengi yanapita pale na malori ya kutosha yanayoenda nje ya nchi wkt Lushoto ni pembezoni ya nchi na hivyo mahari ni machache ni nadra kuliona lori la kontena
Kushoto noma ...usiombe kipindi cha ukungu dereva anasukuma gari km mkokoteni....
View attachment 383977
*******"""""""""*************