Hakika nmeshapata mke mwema hapaJonax umetisha sana
Mtoto wa mjini afu unakojoa hadharani hivyo!!?...mhhhh!Kumbuka mume mwema hutoka kwa bwana.
Hivyo bwana ameshajibu maombi yako tayari.
Hivyo haina budi kukubali coz nmeshakuwa mteule tayari.
Waaapi...wala.Leo umeamka na hang-over
Hizi ni swagger tu.Mtoto wa mjini afu unakojoa hadharani hivyo!!?...mhhhh!, ngoja nikamuelezee kaka angu kwanza akikubali tutayajenga
Ume-quote quote ya mtu ukajimilikisha then ukam-quote Butoz ukamwita JonaxWaaapi...wala.
Hizi ni swagger tu.Mtoto wa mjini afu unakojoa hadharani hivyo!!?...mhhhh!, ngoja nikamuelezee kaka angu kwanza akikubali tutayajenga
Hii hongera...utakuwa tajiri sana weweHizi ni swagger tu.
Hivi unakumbuka yale mabus ya city boy yaliyopata ajali Manyoni Singida mwezi uliopita hapo?
Sasa yale mabus ni yangu na Kampuni ya CITY BOY kwa ujumla ni yangu.
Sasa wewe chezea bahati uone utakavyoijutia
Hamuna Papaa, we yajenge tuAu unaionea wivu kupata mke kwa njia ya roho mtakatifu?
Lisemwalo lipoLeo umeamka na hang-over
Ume-quote quote ya mtu ukajimilikisha then ukam-quote Butoz ukamwita Jonax
Cc QuigleyMtoto wa mjini afu unakojoa hadharani hivyo!!?...mhhhh!, ngoja nikamuelezee kaka angu kwanza akikubali tutayajenga
Hizi ni swagger tu.
Hivi unakumbuka yale mabus ya city boy yaliyopata ajali Manyoni Singida mwezi uliopita hapo?
Sasa yale mabus ni yangu na Kampuni ya CITY BOY kwa ujumla ni yangu.
Sasa wewe chezea bahati uone utakavyoijutia
Hapo ndipo nilipochemka sasaUme-quote quote ya mtu ukajimilikisha then ukam-quote Butoz ukamwita Jonax
Kawa mtakatifuAu unaionea wivu kupata mke kwa njia ya roho mtakatifu?
Hang-overasa kumbe nini?
Niko vizuri sana kimkwanja, siunaona jinsi nilivyo na kitambi cha kuvalia tai hapoHii hongera...utakuwa tajiri sana wewetayari umeleta mengine?
Wee Jonax mbona unanilingishia mabasi akati mimi sitaki vitu nataka mtu.Hizi ni swagger tu.
Hivi unakumbuka yale mabus ya city boy yaliyopata ajali Manyoni Singida mwezi uliopita hapo?
Sasa yale mabus ni yangu na Kampuni ya CITY BOY kwa ujumla ni yangu.
Sasa wewe chezea bahati uone utakavyoijutia
Miraba mi4!! hahahaaNiko vizuri sana kimkwanja, siunaona jinsi nilivyo na kitambi cha kuvalia tai hapoView attachment 383739