Makapuku Forum

Kwahiyo ile ya kuchemsha Chai ulikuwepo?
 
Mh ndege nazo ni tatizo linapokuja suala la Ajali kama hizo
 
Sasa Walilipua ndege kwanini jamani, mbona wanaua watu wasio na hatia
 
Duh! Kuna watu walilipa nauli ya fuso nini!!! Mbona walikaa kwenye mizigo?
 
Hii ni kali pia
 
Number 4, Charkhi Dadri mid-air collision–349,walifariki uliwahi ona wewe ndege zna gongana!!? Yaan anga loote hilo ndege zigongane!!! Hehehehe hii ndo ilitokea, hii naye ilikuwa ni kutokana na kutoelewa lugha ya ki inglish

tarehe 12 november 1996 ndege mbili moja ya Saudi Arabian Airlines Flight 763 na Kazakhstan Airlines Flight 1907, ni kwamba wakati ndege moja ilikuwa ina toka india kwenda Jeddah,ingine ilikuwa inatoka kutoka india kwenda Kazhakstan, sasa wakati hii ya india kwenda saudi ilipo ruhusiwa iondoke , hii ya kazhakstan Pilot wake aliambiwa ajiandae lakini kwa kuwa alikuwa hajui ki ingereza vzuri naye alipaa huko huko angani
Kwa kuwa waongozaji walishindwa ku zo control, ndege hzo zligongana hiyo ya saudi ilivunjika nusu kwa nusu, na kuanguka, na ya pili hiyonyan kazhakstan ili katika bawa moja na kuungua japo ilifanikiwa kutua ililipuka na kuwaka hapo hapo, wakati uokozi una fikia ndege ya saudi walikutwa abiria wa 4 wakiwa wazima na wamefunga mikanda yao lakin walipo fikushwa hospital walifariki kwa kuwa waliumia ndani kwa ndani
Ndo tuna waambia mtafute hata ras simba tuu akufundshe ki inglish mwee!
 
Na alisema usipofahamu kiingereza anarudisha pesa yako..yulr jamaa bhaana
 
Number 3, Japan Airlines Flight 123, 520 wlifariki, 4 walipona misjuagi kilitokea nn lakin hawa wazungu wana sema hvi

"On August 12, 1985 a flight from Tokyo to Osaka crashed into Mount Takamagahara leaving only 4 survivors.
The explosive decompression was caused by a faulty repair performed after a tailstrike incident during a landing seven years earlier. A doubler plate on the rear bulkhead of the plane was improperly repaired, compromising the plane's airworthiness. Cabin pressurization continued to expand and contract the improperly repaired bulkhead until the day of the accident, when the faulty repair finally failed, causing the explosive decompression that ripped off a large portion of the tail and caused the loss of hydraulic controls to the entire plane".
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…