briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Huyu mmarekani ni kiboko alikua anakata maji ka dolphin aseeLeo katika Historia:
2008 - Michael Phelps anakuwa mwanamichezo wa kwanza kushinda medali 8 za dhahabu katika michezo ya Olimpiki ya 2008.
Huyu mmarekani ni kiboko alikua anakata maji ka dolphin aseeLeo katika Historia:
2008 - Michael Phelps anakuwa mwanamichezo wa kwanza kushinda medali 8 za dhahabu katika michezo ya Olimpiki ya 2008.
Hbd Henry, moja kati ya watu wachache nliowakubali sana kwenye sokaLeo katika Historia:
1977 - Thierry Henry anazaliwa.
Ni mchezaji wa wa zamani wa Arsenal, Barcelona na Ufaransa.
Ni mchezaji bora zaidi wa Kigeni kuwahi kucheza EPL.
VIVA... EngineersLeo katika Historia:
Ni siku ya Mainjinia ( Wahandisi ) nchini Colombia.
Nimeliskia sana jina la huyu mzee, inaonekana ndo habari ya mjini... Kwan kafanyaje?Akilimali jina lake tu utata kuliita, sembuse mambo yake
Papaa, habari ya parii?Morning morning peoples
MorningiMorning family,
Magazeti ya Leo yanawajia kwa hisani ya timu ya Taifa ya wanawake ya Sweden
View attachment 382914View attachment 382915View attachment 382916
ByeView attachment 382937View attachment 382938
Jina langu naitwa Jimena Jimenes
Kumbuka tu ni kwa udhamini wa timu ya Taifa wanawake wa Sweden ndio iliyosababisha mimi kuwepo hapa,
Byebye
Ndiyooo
Sasa Swt P we fikiria afike airport tuu aseme kuna nuka et!!!Michael Hakuwa mnafki dar kuna maeneo yanatema kweli jamani...![]()
Mi nahis ange ishia hapaaaHuyu mkaka angebaki angalau tu View attachment 382956na hii rangi sidhani kama yangemkuta yaliyomkuta...R.I.P
huwa nafurahi sana Szczesny unavyoongea
Sawa bhanaKila mtu ana Uhuru wa kujiamulia mambo ilimradi asivunje sheria.....Maishani unaweza kukwepa balaa kubwa lkn ukafa au kusumbuliwa na balaa dogo
Ishi unavyojisikia sio kufurahisha watu
Live ur life
Y.O.L.O
............. ..
Swalamaa wewe je!!?Mmeamkaje Kapukuz...![]()
Binamu ake Jimenna ana maneno matamu hatari aisee.......Atchuuuuu
!!...
![]()

Ndo ivoSawa bhana
Ila kuwa makini
Binamu ake Jimenna ana maneno matamu hatari aisee.......Atchuuuuu
!!...
![]()

Hujui shati za kipapaa....KamnunulieNguo zake sijazielewa kabisaa
Nlitaka nkuletee dawa jana sema huku nako tukapata mgonjwaLeo nimeamka vizur kidogo sio kama jana kwakweli usiku ulikuwa mrefu sana...mateso bila chuki chafya za kutosha
Anaitwa nan?Eti leo nmemtext wangu wa zamani *Hi.... aka-Update Her Status (Am Happy without you) alijua cjui nataka nn kumbe nlitaka nimwambie nmekutana na Mamake Mjini kavaa Koti langu.
![]()
![]()
![]()
![]()
.....................