Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,234
- 68,270
Sawa mkuu
Jaman kuwen makin na kaulo zenu kwa binam yanguJimena ni dada wa maana sema, ni mwelewa na hana makuu na anajua kucheza na akili za watu na ku win,,,nampenda bureee
Mafua ni ugonjwa wa mapenzi, tafuta tiba fasta.Mafua makali sana sijui ni ya ndege? nimejikaza kuangalia simu kwa muda japo mwanga unaumiza macho.![]()
![]()
Hatakuepo huko
Acha tu amwage mboga sisi tutamwaga ugaliSasa utalipizaje? Niko interested hapa![]()
Jicho la mwewe.Sema nini..... Bepari una maono sana
Kwa kweli jimena ni mutu muzuriJaman kuwen makin na kaulo zenu kwa binam yangu

Nitampa dawaMafua ni ugonjwa wa mapenzi, tafuta tiba fasta.
BinamuuuuuHiiiii
Tena!!!
Mimi sijaribiwi. ( in Jioni Maulevi'z voice )Hatakuepo huko
Hivi jana ulikuwa wapi?? Mwenzio yalinikuta yani binamu akadiriki kuita mtu PM mbele ya macho yangu

Nite na ugua pole dearUsiku mwema guys kadr muda unasonga hali yangu ni tete...
Imepita hiyo.Sawa mkuu
Angalia picha zinginesawa no ziara, mbona kala shati la kijani na suruali nyeusi sare za Lumumba? ( Utani )
pole sana, ushapata dawa?Mafua yananitesa.
Uchochezi huo, mimi SimoMimi sijaribiwi. ( in Jioni Maulevi'z voice )

Huyo hayuko ukoooSawa kabisa
Nakubaliana na wewe ndugu mwenyekiti