Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi ni mboga ama ndo kama ugali vile?
Hapana sio kitu kinachojitegemea, mi huwa nachanganya kwenye nyama au samaki ( kama navyoweka karoti, Hoho nk) pia huwa naweka vipande kadhaa kama nikijikaangia mayai (spanish omelet)
Au naweka pia kwenye soup hasa hasa potato soup
 
Hapana sio kitu kinachojitegemea, mi huwa nachanganya kwenye nyama au samaki ( kama navyoweka karoti, Hoho nk) pia huwa naweka vipande kadhaa kama nikijikaangia mayai (spanish omelet)
Au naweka pia kwenye soup hasa hasa potato soup
Kwenye mapishi nako umoo, unanifanya niupende hata kabla sijaula
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom