Habari wana JF
Habari Makapuku wenzangu
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.
Makapuku natumaini nyote tutashirikiana katika jambo hapa JF. Bila kumsahau founder wa makapuku prezidaa Bitoz shukrani kwake sana.
Mimi member wa siku nyingi ila naweza kujiita kapuku. Majukwa ambayo najitahidi sana kutojihusisha nayo moja ni jukwaa la siasa maana kula unakutana na wapumbavu wa karne ambao wanajitita wao ndo wabobezi. Ukiwajibu mtaishia kutukana. Na spend muda mwingi kwenye jukwaa la biashara sababu najua kule kuna mawazo chanya unapata. Kulikobakia kumejaa wajinga tuu ...