shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Mwamba wa AfricaLeo katika Historia:
1973 - Jay Jay Okocha anazaliwa.
Mwanasoka mahiri wa zamani wa Nigeria.
Mwamba wa AfricaLeo katika Historia:
1973 - Jay Jay Okocha anazaliwa.
Mwanasoka mahiri wa zamani wa Nigeria.
Alistaafu akawa mchambuzi wa sokaSijamsikia long time sijui yu wapi siku hizi
Huyo kweli ni kisikiLeo katika Historia:
1984 - Ni siku ya kuzaliwa ya beki kisiki Giorgio Chiellini.
Maarufu kama " Mti Mkavu " ni beki kisiki wa Juventus na Italy.
Leo katika Historia:
1968 - Halle Berry anazaliwa.
Ni mwanamitindo, Muigizaji na Miss United States wa 1998.
Kwa akili na uwezo wa kufikiri tunaongoza DunianiView attachment 381260View attachment 381262View attachment 381263Kina Takuma sawa na Mgambo
.......
Asante sana mkuu mussolinSina la ziada, Jumapili njema kwenu, Kwa udhamini mnono wa Ferrari tukutane tena Kesho.
Leo katika Historia:
1973 - Jay Jay Okocha anazaliwa.
Mwanasoka mahiri wa zamani wa Nigeria.
Hapo sawaAlistaafu akawa mchambuzi wa soka
Asante sana kwa magazeti J JView attachment 381315View attachment 381316
Asante sana Ferrari kwa udhamini mnono kabisa asubuhi ya leo....
Niite Jimena Jimenes, sina la ziada bali nawatakia jumapili njema wote
KaribuAsante sana kwa magazeti J J
Bado mbiiiichiHuyu bibi hazeeki
Leo katika Historia:
1984 - Ni siku ya kuzaliwa ya beki kisiki Giorgio Chiellini.
Maarufu kama " Mti Mkavu " ni beki kisiki wa Juventus na Italy.
Asante sana kwa magazeti!View attachment 381315View attachment 381316
Asante sana Ferrari kwa udhamini mnono kabisa asubuhi ya leo....
Niite Jimena Jimenes, sina la ziada bali nawatakia jumapili njema wote
Hata mimi sijaelewa labda wanamuogeshaHuyo aliyepigishwa magoti wanataka kumfanya nini...mbona sijaelewa jamani![]()
Leo katika Historia:
1989 - Ander Herrera anazaliwa.
Ni kiungo wa Man Utd na timu ya taifa ya Hispania.
sisi inakuja Ukuta
Asante sana JJ.View attachment 381315View attachment 381316
Asante sana Ferrari kwa udhamini mnono kabisa asubuhi ya leo....
Niite Jimena Jimenes, sina la ziada bali nawatakia jumapili njema wote