makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,430
- 108,442
Nashukuru mkuu, nijuze hali yako kapuku.Mkuu nakusalimu tu
Nashukuru mkuu, nijuze hali yako kapuku.Mkuu nakusalimu tu
Hata mm nakusalimu piaMkuu nakusalimu tu
Hali yangu njema mkuuNashukuru mkuu, nijuze hali yako kapuku.
Heshima haipatikani kwa kuheshimu wengine bali kwa kujiheshimu mwenyewe ni km mtu anayekazana "shikamoo" .....hiyo haikupi tiketi ya kuheshimiwa ni km vile ukijipenda utapendwaMkuu kulikoni
Naangaliaga kwa kishikwambi changu acha majunguSubiri na ww kulipa.. maana unaonekana unatizama kwa jiran game bure km kwako vile
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ninachomaanisha, ni kuwathamini wengine na kujali...ndio tafsiri ya neno heshimaHeshima haipatikani kwa kuheshimu wengine bali kwa kujiheshimu mwenyewe ni km mtu anayekazana "shikamoo" .....hiyo haikupi tiketi ya kuheshimiwa ni km vile ukijipenda utapendwa
...............
[emoji123] [emoji123]Mi ht kwa ndugu sishoboki ht km ni choka mbaya najikubali mwenyewe
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
...........
Heshima haipatikani kwa kuheshimu wengine bali kwa kujiheshimu mwenyewe ni km mtu anayekazana "shikamoo" .....hiyo haikupi tiketi ya kuheshimiwa ni km vile ukijipenda utapendwa
...............
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ninachomaanisha, ni kuwathamini wengine na kujali...ndio tafsiri ya neno heshima
Siwezi kuelewana nae........[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nashkuru mkuu, vip familia na wengine waliokuzunguka..Hali yangu njema mkuu
Kishwambi wako wapi weweee, wakati unaangalia kwa mke wa mtu.Naangaliaga kwa kishikwambi changu acha majungu
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
............
Nasikia umeshiba ufutaKishwambi wako wapi weweee, wakati unaangalia kwa mke wa mtu.
Alafu kumbuka mimewe yuko mkoani, sasa akikufuma sisi tutabakia kusema "pole sanaa"
Jibu ni NDIOOO tena nmevimbiwa kabisa...Nasikia umeshiba ufuta
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
..............
Hmna kawaida kuwa na mawazo tofaut ndo ubinadamSiwezi kuelewana nae........
Yaani mi naongelea "subject matter" yy anaongelea "types"
bora nimuache
...........
Ndo maana nimeacha kubishanaHmna kawaida kuwa na mawazo tofaut ndo ubinadam
HahahaNdo maana nimeacha kubishana
Coz huwezi kubadili kitu mtu anachoamini
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
..........
Tukutane kezho kwenye EPLHahaha
Tuonane tar 1 kwenye U [emoji125] [emoji100]
Sasa Wivu au[emoji15]Mweeer!!!
CR7Ronaldo yupi kwanza
Ronaldo robot au ronaldo fundi.
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Nazani anamzungumzia Cr7 huyu