Wala sikai mkuu hapa ni transit tu kesho naelekea iringa, ila kuna jamaa yangu hapa kanitonya kuna kiwanja maeneo ya nkuhungu ndani ndani alinunua mwaka jana milioni 4 mwaka huu baada ya tamko la rais kuna mtu akataka kumpa milioni 12 amuachie amekataa anadai serikali ikija itamtajirisha... Naskia viwanja havishikiki huku sa ivi