Ni lugha ya Vijana wa taboraNi kinyamwezi hiko ama?
MsukumaItakuwa ya mmasai hiyo
Waaukuma hawana nyumba za hivyoMsukuma
..........
Dah sijabahatika kukutana na hilo neno mpaka nimeondokaNi lugha ya Vijana wa tabora
Hilo ni jina maarufu sanaDah sijabahatika kukutana na hilo neno mpaka nimeondoka
Mh basi siku nikienda tena labda ntalisikia mana japo nimekua nikijichanganya sana lakin sijawah kuliskiaHilo ni jina maarufu sana
Zinaenda vizuri sana mkuu, habari za taboraNi njema sana mkuu, shughuli zinaendaje?
Tabora nimeondoka asubuhi leo mapema sana sa ivi nimeweka kambi hapa mji mkuu dodomaZinaenda vizuri sana mkuu, habari za tabora
Hongera mkuu, ukikaa kidogo ulizia viwanjaTabora nimeondoka asubuhi leo mapema sana sa ivi nimeweka kambi hapa mji mkuu dodoma
Wala sikai mkuu hapa ni transit tu kesho naelekea iringa, ila kuna jamaa yangu hapa kanitonya kuna kiwanja maeneo ya nkuhungu ndani ndani alinunua mwaka jana milioni 4 mwaka huu baada ya tamko la rais kuna mtu akataka kumpa milioni 12 amuachie amekataa anadai serikali ikija itamtajirisha... Naskia viwanja havishikiki huku sa iviHongera mkuu, ukikaa kidogo ulizia viwanja
Niko poa, kazi zimebana sanaShululu waendelea je
Ndio maana aketukiongozwa na bamutu ba kongo
Cc werrason