Makapuku Forum

Ufalme uchwara.....wana PRESIDENT sema kuna zina nyingi za serikali/state na kumbuka tulifundishwa constitutional law kwahiyo serikali muundo zinatofautiana

............
Nchi za Schengen karibu zote dizaini yake ya uongozi waziri mkuu ndio mambo yote,
 
Mbona hawako kwenye list za magaid


Hao ni Marais wa mchi makini
Kale katoto a korea kamekua pale pale Ikulu ila sahivi toka ajue kunyoa panki hatusemi.

Putini nae kidege chake kilitunguliwa na Uturuki akashindwa hata kulipa kisasi zaidi ya kuongea maneno yasiyo na tija tu kama dalali
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…