Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Hapana chezea kabisaPengine alifungwa na khanga kiunoni kama loki asichomoke, kafunguliwa wakati wa studio.. Hatari sana tanga![]()
![]()
Hapana chezea kabisaPengine alifungwa na khanga kiunoni kama loki asichomoke, kafunguliwa wakati wa studio.. Hatari sana tanga![]()
![]()
HahahaKale katoto a korea kamekua pale pale Ikulu ila sahivi toka ajue kunyoa panki hatusemi.
Putini nae kidege chake kilitunguliwa na Uturuki akashindwa hata kulipa kisasi zaidi ya kuongea maneno yasiyo na tija tu kama dalali
Mimi kiasili ni.Hahaha
Hamna wewe ntakifanyia uchunguz zaid ukifanya kosa kubwa ina onekana
HeheheMimi kiasili ni.
*Bishoo
*Mcheshi
*Mpole
*Mpenda totoz
Fujo,wizi,ukorofi bange,ulevi,matusi. N.k siyo kawaida yangu
.....................
Ndo ukweli huo hata sura yangu ni ya upole sinaga ugomvigomvi na mtu na ucheshi unaonekana ht hapahapa KFHehehe
Umijipa ufagio kwel kwel
Lazima urudi na kitambiMguu wa nyuma wa mbuzi
Huchelewi kutimiza ahadi aliyohahidi mwingineUfanye hivyo mapema kabla mi sijapata safari za huko![]()
![]()
![]()
Hapo lazima usitie neno
Ukraine washambaHahaha
Puti mwenzio kawanyang'anya Ukraine jimbo zima
Rais wa uturuki jana kasema wanaenda kufanya mazungmzo yeshe
Assad mpaka sasa yuko ikulu kwa msaada wa Putin
Hahahaha
Ngoja tukienda uta mcheki
Bitoz katika ubora wakeMimi kiasili ni.
*Bishoo
*Mcheshi
*Mpole
Fujo,wizi,ukorofi bange,ulevi,matusi. N.k siyo kawaida yangu
.....................