briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Ndo vile huwa nikilenga sikosi atiUnakoseaje sasa kwa mfano???
Ndo vile huwa nikilenga sikosi atiUnakoseaje sasa kwa mfano???
Hahaaaa maziwa nachanganya na asaliHapana aisee maji ya ray tu hayatoshi, pengine unaogea maziwa [emoji4] [emoji4]
wala usiongee maana wewe una point 6 zetu kibindoni.Ngoja uje Emirates
Kashalianzisha hapaMasihara hayo
Kaka ake Lulu atalianzisha
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
........
Mizengo Kapinda
Dah kama nakuona vile utakua mlainiiiii [emoji4] [emoji4]Hahaaaa maziwa nachanganya na asali
[emoji23] [emoji23]Kwa niaba ya Wenger nasema asante
Ewaah! Hapa umefuzuNyngne[emoji106]
Unamiriki siraha za hatari, inabidi uche porish tukague vibari vyako![emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaaa mi mgumu kama gome la mtiDah kama nakuona vile utakua mlainiiiii [emoji4] [emoji4]
Tena mpingoHahahaaaa mi mgumu kama gome la mti
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huo huoTena mpingo
Aaah wap! Kwa kujipaka huko asali lazima utakua lainii ka nyama ya ndani ngoja nimuulize braza Th Name aninong'onezeHahahaaaa mi mgumu kama gome la mti
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] sasa beach huyo kudwi ataweza kweli kuvaa [emoji160]Unaendaga nae beach?