Makapuku Forum

Nimeiboresha comment mimi km Mimi kwenda na wakati au kuongeza mvuto au mengineyo

Acha kupotosha sijashauriwa na mtu na ht hiyo comment yako sijawahi kuiona
__mtu yoyote anaedit post yake kwa malengo Fulani....kwabiyo ht kesho nikijisikia naedit km kuna kitu nataka kuweka
NB:
SIJASHURUTISHWA NA MTU WALA KUFUATA USHAURI WAKO
.................................
 
Hongera kwa kwenda na wakati (Th Name na Bitoz).
 
NUKUU NO 1#

Siku moja mimi na masista wenzangu tulimwokota masikini mmoja mitaani akiwa hoi kwa njaa na ugonjwa.

Tukamchukua hadi kituoni kwetu na kumlaza kitandani. Akanitazama kwa tabasamu na kusema "Asante sana" na kisha akafariki Dunia.
Niliyatafakali maneno yake hayo ya mwisho huku nikijiuliza, ni wangapi ambao wangetamka maneno yale Dakika zao za mwisho hapa duniani huku wakiwa na tabasamu usoni?

Haya yalisemwa February 4,1994 mjini Washington, Marekani na mwanzilishi wa shirika la kimataifa la Misaada ya hisani _missionaries of charity la India, Mother Teresa.

Alizaliwa Agosti 26,1910 huko Yugoslavia na kufariki Dunia September 5,1997 huko Calcutta India.

Wakati wa uhai wake Mother Teresa alitunukiwa tuzo kadhaa za heshima kwa kuthamini kazi aliyokuwa akiifanya ya kuwasaidia masikini.
Moja ya tuzo hizo ni ile ya amani ya Nobel
 
NUKUU NO 2#

Tanzania ni ya watanzania wote. Hakuna mtu mwenye haki ya kusema 'mimi ndiye watu; wala hakuna mtanzania mwenye haki ya kusema ya kusema 'najua linalowafaa watanzania na wengine wote ni lazima wafuate '.
Mambo ya Tanzania lazima yaamuliwe na watanzania wote.

Maneno haya ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, yamo kwenye kitabu chake kinachoitwa Binadamu na Maendeleo. Wakati uhai wake Mwalimu Nyerere, tofauti na watawala wa sasa, aliandika vitabu kadhaa venye mawazo maridhawa ya namna taifa letu linavyopaswa. Alifariki Dunia Oct 14,1999
 

Kawahi kutembelea kanisa katoliki Mburahati
.................
 
[
Genius
...........
Siyo yule "wapumbavu & malofa"
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…