Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1980 - Wayne Bridge anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Chelsea na Man City.
1470377434092.jpg
1470377438986.jpg
1470377443262.jpg

Alichapiwa kidemu chake na Terry
..........
 
Leo katika Historia:

1962 - Marilyn Monroe anafariki.

Ni mwigizaji na mwanamitindo mashuhuri wa miaka ya 1950's huko Marekani. Alikuwa ni mrembo aliyesifika miaka hiyo.

Kifo chake kinabaki kuwa miongoni mwa vifo tata kuwahi kutokea nchini Marekani.

Inaaminika aliuwawa kwa kuwa alitembea na Rais John F. Kennedy pamoja na Kaka yake Robert Kennedy hivyo alipotaka kutoa siri hyo wakamnyamazisha.
Namkubali sana huyu mama
 
Leo katika Historia:

1962 - Marilyn Monroe anafariki.

Ni mwigizaji na mwanamitindo mashuhuri wa miaka ya 1950's huko Marekani. Alikuwa ni mrembo aliyesifika miaka hiyo.

Kifo chake kinabaki kuwa miongoni mwa vifo tata kuwahi kutokea nchini Marekani.

Inaaminika aliuwawa kwa kuwa alitembea na Rais John F. Kennedy pamoja na Kaka yake Robert Kennedy hivyo alipotaka kutoa siri hyo wakamnyamazisha.
1470378459515.jpg
1470378463168.jpg
1470378467234.jpg

Kishkwambi kikali
...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom