Hata mimi ningeshangaa kusikia kamba inafungwa mkononi.Sorry hakosi kamba mguuni lol....
Hahahahaha umeona eehHata mimi ningeshangaa kusikia kamba inafungwa mkononi.
Aah niliingia jukwaa flani...nikawa naguswa tu na mada flani flani...full kushushuliwa na dem flan hivi...ooh we vipi umekuja kwa kasi wakati umejisajili juzi tu...nikabaki nashangaa tu kwamba kumbe JF kuna watu special ndio wana deserve kuongea au kuchangia...nikajikuta mood yote imekufa...sema naona humu kwa makapuku pa kijanja no Shoboz peleka kwenu!!. One love Guys
Hahahahahaha!!View attachment 376059
Hapa stress FREE ZONE.
Kuna ishu kibao
Subiri wenyewe waje ujionee
...........
FaizerFix"Ulienda shule kusomea ujinga?"Hahahahahaha!!
Hapa stress zote tunawaachia makonda wa daladala.Aah niliingia jukwaa flani...nikawa naguswa tu na mada flani flani...full kushushuliwa na dem flan hivi...ooh we vipi umekuja kwa kasi wakati umejisajili juzi tu...nikabaki nashangaa tu kwamba kumbe JF kuna watu special ndio wana deserve kuongea au kuchangia...nikajikuta mood yote imekufa...sema naona humu kwa makapuku pa kijanja no Shoboz peleka kwenu!!. One love Guys
Hahahahaha daahFaizerFix"Ulienda shule kusomea ujinga"
hapana tulienda kusex
................
Usijali Mkuu. Pamoja sana.Asante Emmyguy
Utafikiri wamerithi au wana hisa JfHahahahaha daah
Wakati hata tembo akimuona panya tu hajanja hana!!!Utafikiri wamerithi au wana hisa Jf
Eti kisa wao wakongwe wkt ukubwa hata nyati anao lkn kichwani kweupe
.
..............
Wote tumekutana na nyodo za wakongwe kina Ngedere Ungabure,Igweeee, FaizerFix, Ever Kichumvi n.kWakati hata tembo akimuona panya tu hajanja hana!!!
Usijali madam. Sie tupo, ukiivisha nipe taarifa.Niko salama jamani, ila very busy labda baadae ntajitahidi kuwepo hapa
Utafikiri wamerithi au wana hisa Jf
Eti kisa wao wakongwe wkt ukubwa hata nyati anao lkn kichwani kweupe
.
..............
Karibu sanaHahahahaha daah