Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,234
- 68,268
Leo katika Historia:
1982 - Helder Postiga anazaliwa.
Ni mchezaji wa mpira wa miguu toka nchini Ureno.
Mlipuko wa kawaida tu (ajali) au watu walifanya yao?Leo katika Historia;
2014 - Watu 146 wanafariki baada ya kutokea kwa mlipuko huko Shanghai na wengine kujeruhiwa.
KulichimbikaKunani tena pale congo??
Cc mutu ya kongo, werrason
Mlipuko ulitokea kiwandaniMlipuko wa kawaida tu (ajali) au watu walifanya yao?
Mpenda totozLeo katika Historia:
1997 - Fela Kuti anafariki Dunia.
Alikuwa ni mwanamuziki mahiri toka nchini Nigeria.
Alipenda sana totoz katika ubora wake.
Yap...ila sio uchwara.
Ooh jamani poleni sana kwa kiondokewa na classmateLeo katika Historia:
2006 - Martin Mbawala anafariki Dunia.
Alikuwa ni classmate wangu, vidonda vya tumbo vilimuondoa Duniani.
Leo tunaadhimisha miaka 10 toka ututoke, daima tutakukumbuka, pumzika kwa amani Kaka.
Leo katika Historia:
1984 - Giampaolo Pazzini anazaliwa.
Ni straika wa Kiitaliano anayecheza klabu ya Hellas Verona.
Pia aliwahi kuchezea Inter Milan na Ac Milan.
Saddam alishinda kwani pamoja na Marekani kuingilia vita hiyo, Rais wa Marekani wa wakati huo, G.W. Bush Sr ( Bush Mkubwa ) alichemsha na ndio maana mwanae alikuja kulipa kisasi.
Inaaminika aliondoka na ngomaMpenda totoz
Morning brizMorning le family!
Amen.Ooh jamani poleni sana kwa kiondokewa na classmate
Muendelee kumuenzi kwa kufanya yale alivyokuwa akiyapenda
Leo katika Historia:
1989 - Nacer Chadli anazaliwa.
Ni mchezaji wa mpira wa Miguu toka Ubelgiji na klabu ya Tottenham.