Makapuku Forum

Makapuku Forum

1469861747637.jpg
1469861752235.jpg
1469861760738.jpg
 
hahaha...fainali yenyewe waliyomfunga Ujerumani iligubikwa na utata mkubwa sana!

Inabaki kuwa moja kati ya mechi tata katika Historia ya Kombe la Dunia kwani magoli mawili waliyofunga yalikuwa na utata, moja halikuvuka mstari na la pili lilifungwa wakati baadhi ya mashabiki walikuwa ndani ya uwanja.

Hivyo basi hiyo laana imeendelea kuwatafuna haswa.
1469861987533.jpg
1469861992099.jpg
.haipingiki mpira haukuvuka mstari
Nao wakalipizwa kwa goli la Frank Lampard kukataliwa world cup sijui 2010
............
 
1469861854595.jpg
1469861862376.jpg
1469861869034.jpg

Mpaka hapo sina la ziada kutoka magazetini,
Usisahau kuwa magazeti haya yalikujia kwa hisani ya timu ya Taifa ya England na ubingwa wao wa pekee walioupata miaka 50 iliyopita[emoji3]
Niite Jimena Jimenes tukutane tena kesho na muwe na week end njema zaidi
 
Alitamba sana mwingine ni David Ginola hao ni km Mungu pale White Hart Lane
..............
Yap.

Ulishawahi kusiki Mkasa wa Ginola kwenye timu yake ya Taifa.

Ilikuwa ni mechi ya mwisho ya kufuzu Kuelekea world cup ya 1994 pale Marekani, Ufaransa aliihitaji droo tu afuzu, mpira ukielekea ukingoni Ginola akampasia adui wakaenda kufungwa na Ufaransa ikashindwa kufuzu.

Kocha wa wakati huo wa Ufaransa Gerald Houlier alimsakama sana Ginola hali iliyopelekea Ginola kukimbia nchini Ufaransa. Alipozidi kumsakama jamaa alienda mahakamani.
 
Yap.

Ulishawahi kusiki Mkasa wa Ginola kwenye timu yake ya Taifa.

Ilikuwa ni mechi ya mwisho ya kufuzu Kuelekea world cup ya 1994 pale Marekani, Ufaransa aliihitaji droo tu afuzu, mpira ukielekea ukingoni Ginola akampasia adui wakaenda kufungwa na Ufaransa ikashindwa kufuzu.

Kocha wa wakati huo wa Ufaransa Gerald Houlier alimsakama sana Ginola hali iliyopelekea Ginola kukimbia nchini Ufaransa. Alipozidi kumsakama jamaa alienda mahakamani.
1469863108254.jpg
1469863113131.jpg

Hii ndo mechi aliyofungisha
Ilikuwa dhidi ya Bulgaria km sikosei......ndo ikawa mechi yake ya mwisho kuchezea Ufaransa
Ana bahati sana wange muESCOBAR
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
.............
 
Back
Top Bottom