Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katoka Historia:

1964 - Jurgen Klinsman anazaliwa.

Ni kocha wa zamani wa Ujerumani aliyeifikisha timu hiyo kwenye nafasi ya mshindi wa tatu kwenye michuano ya Kombe la Dunia lilifanyika kwao Ujerumani mwaka 2006.

Kwa sasa ni kocja wa timu ya taifa ya Marekani
 
Leo katika Historia:

1975 - Jimmy Hoffa aliyekuwa Kiongozi wa Wafanyakazi, anatoweka katika Parking ya mgahawa wa Machus Red Fox huko Michigan nchini Marekani na hajawahi kuonekana tena mpaka leo.

Licha ya kuwa ni kiongozi wa Wafanyakazi pia alikuwa ni Mwanaharakati hali iliyopelekea kutifautiana na Watawala.

Ilipofika July 30 mwaka 1980 ndugu zake walitangaza kuamini kuwa Jimmy atakuwa amefariki.
1469860774108.jpg
1469860778781.jpg
1469860783197.jpg

Tujiepushe na Polifix zitatuponza hapa JF pia ndo Jukwaa la BANBAN
................
 
Leo katoka Historia:

1964 - Jurgen Klinsman anazaliwa.

Ni kocha wa zamani wa Ujerumani aliyeifikisha timu hiyo kwenye nafasi ya mshindi wa tatu kwenye michuano ya Kombe la Dunia lilifanyika kwao Ujerumani mwaka 2006.

Kwa sasa ni kocja wa timu ya taifa ya England.
1469861397377.jpg
1469861403555.jpg
1469861407837.jpg

Alitamba EPL
...................
 
View attachment 373223View attachment 373224View attachment 373225
Hawachukui tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.................
hahaha...fainali yenyewe waliyomfunga Ujerumani iligubikwa na utata mkubwa sana!

Inabaki kuwa moja kati ya mechi tata katika Historia ya Kombe la Dunia kwani magoli mawili waliyofunga yalikuwa na utata, moja halikuvuka mstari na la pili lilifungwa wakati baadhi ya mashabiki walikuwa ndani ya uwanja.

Hivyo basi hiyo laana imeendelea kuwatafuna haswa.
 
Back
Top Bottom