Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Hello[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hello iron lady!
Hello[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hello iron lady!
Leo katika Historia:
1975 - Jimmy Hoffa aliyekuwa Kiongozi wa Wafanyakazi, anatoweka katika Parking ya mgahawa wa Machus Red Fox huko Michigan nchini Marekani na hajawahi kuonekana tena mpaka leo.
Licha ya kuwa ni kiongozi wa Wafanyakazi pia alikuwa ni Mwanaharakati hali iliyopelekea kutifautiana na Watawala.
Ilipofika July 30 mwaka 1980 ndugu zake walitangaza kuamini kuwa Jimmy atakuwa amefariki.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huwa nafurahi kukuona jukwaani..heshima kwako dadakeHello[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Asante[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huwa nafurahi kukuona jukwaani..heshima kwako dadake
Leo katika Historia:
1947 - Arnold Schwarzenegger anazaliwa.
Ni msanii wa filamu toka Hollywood ncjini Marekani ingawa alizaliwa nchini Austria ila ana uraia wa Marekani.
Alikuwa gavana wa 38 wa California.
Asante sana best... Yani hujawahi kuniangusha na kusema kweli nafurahi sanaAhsante kwa muda wenu.
Sina la ziada toka maktaba kwangu.
Kwa hisani ya besidei ya Shoziniga tukutane kesho.
Leo katoka Historia:
1964 - Jurgen Klinsman anazaliwa.
Ni kocha wa zamani wa Ujerumani aliyeifikisha timu hiyo kwenye nafasi ya mshindi wa tatu kwenye michuano ya Kombe la Dunia lilifanyika kwao Ujerumani mwaka 2006.
Kwa sasa ni kocja wa timu ya taifa ya England.
hahaha...fainali yenyewe waliyomfunga Ujerumani iligubikwa na utata mkubwa sana!View attachment 373223View attachment 373224View attachment 373225
Hawachukui tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.................
Happy Birthday SchwarzeneggerLeo katika Historia:
1947 - Arnold Schwarzenegger anazaliwa.
Ni msanii wa filamu toka Hollywood ncjini Marekani ingawa alizaliwa nchini Austria ila ana uraia wa Marekani.
Alikuwa gavana wa 38 wa California.
cc Th Name ambaye ni shabiki mkubwa sana kama sio shabiki wa kutupwa wa Three Lions. ( England )Hahahahahahahahahahaha hii habari umenichekesha sana
Kumbe walitwaa miaka 50 iliyopita?? Pole sana kwa mashabiki wote wa England
Sijaelewa hapa, ni urafiki baina ya nchi na nchi sio?Leo katika Historia:
Ni siku ya kimataifa ya Urafiki.
Polifix ni za kukaa nazo mbali sana! Imegharimu maisha ya wengi.View attachment 373228View attachment 373229View attachment 373230
Tujiepushe na Polifix zitatuponza hapa JF pia ndo Jukwaa la BANBAN
................