Makapuku Forum

Makapuku Forum

The Judas Cradle
View attachment 371477
Kwanza ilikuwa lazima mtu awe uchi kabisa ili kumuongezea aibu halafu alifungwa kamba mikono na miguu alafu alikaliwsha kwenye hiyo pembe tatu na kamva zililegezwa zaid na zaid ili kufanya "anus" yake izidi kuzamishwa na kumuumiza na kwa kuwa walikuwa hawa paoshi watu wengi hawakufa kwa maumivu bali kwa vacteria mbali mbali walo kuwa hapo hii pia ilichukua siku kadhaa mtu kukata roho
Watu zaidi ya wanyama!!![emoji87]
 
FIX ZA BITOZ VI:
wakati nasoma Sekondari shule fulani ya walalahoi huku Joto City tulikuwa na kautaratibu ketu cha kwenda beach kila jumamosi na vishikwambi vyetu kutokoto baada ya kufagia na kudeki class....
Sasa bhana kuna Kishkwambi kikali kilikuwa kinaitwa Mwajuma ndo kimehamia skuli kwetu na mimi km bishoo natembea na watoto wakali tu....basi nikakapania kukaimbisha hiyo jumamosi si kakakubali babake nikaongozana nako hadi beach pamoja na masela na vishikwambi vyao
Sasa tukiwa beach Bitoz sijui kuogelea halafu nina mbwembwe nikaenda kwenye kina kirefu si nikazama bahati nzuri Mwajuma akaniokoa lakini cha moto nilikiona maana nilikunywa vikombe hadi nikatoa macho kumzidi chura
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nilichekwa sana na masela lakini mapenzi yetu na Mwajuma yaliendelea hadi shule tukawa mastaa zen mtihani wa NECTA tukaambulia madivision 4
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sitasahau kisanga cha kuponea tundu la sindano kufa beach hadi leo ukitaka utafiki wetu ufe nipeleke beach niambie tukaogelee
.....................
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Kewenye 4 hapo ndo nimeelewa
 
uploadfromtaptalk1469561855571.png
 
Back
Top Bottom