Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Asante mkuuZinavutia na kusisimua ndo maana naongezea mapicha
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
...............
Jambo mujarab kabisaa
Asante mkuuZinavutia na kusisimua ndo maana naongezea mapicha
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
...............
HahahaHuu sasa ni ugaidi
Kudadadadadek
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mh!!! Kuna watu wana roho mbaya!!! Mtu wa kurost!!!
KabsaaKwenye Dunia hii watu wengi huwa wanapitia mateso makali sana, hasa watu wa kale
AaaaaaLeta kwa udhamini ya 3-1 Aaah!!! Wakimataifaaaa!!!
Rope Torture
View attachment 371516
Hii ilitumika jwa namna mbali mbali kama vile
Kunyonga mtu
Kumtegua mikoni au miguu
Kumuachanisha mtu vipande vipande kwa kuamua kuwafinga farasi na kuwaamuru wakimbie
Na namna mbali mbali ila jua kamba matumiz ni mengi hata sku hizi wahehe tuna zitumia sana hizo
Nitawapoza kwa fix baadae kidogoAsante mkuu
Jambo mujarab kabisaa
HahahahaNitawapoza kwa fix baadae kidogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
...................
Mh!!! ....[emoji87]Impalement
View attachment 371461 hii ilitumiwa na Vlad the Impaler. Karne ya 15 huko Romania; watu wali kuwa wana kamatwa halafu wana ambiwa wakalie miti ilo chongwa kwa juu na hiyo huwachoma, hii huchukua mpaka siku tatu kwa muhanga kufa na bwana vlad aliwahi kuwa ua watu zaid ya 20,000 kwa siku moja huku mwenye akipga luch kama anavo onekana kwenye picha
Ila habari ndio hiyoAaaaaa
Hiy si itambui
AsanteeeeeNazileta mbili zaid za bonus
Endelea kuwa nami
Ebanaeeh! Hapo unajiua mwenyewe!Heretics Fork
View attachment 371465
Kama muonavyo kwa picha hapo mtu aliwekewa hiyo kitu kama uma pande zote na hii na alifungiwa shingoni na alifungwa juu ya mti mfupi au tuu alisima mishwa sehem, ilikuwa ni njia ya mateso kwani haikutakiwa mtu asinzie na siku ambayo alichoka na kuiachia shingo lazima atoboke koo na kidevu na kufa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]```Jamaa mmoja alilala na dem kwenye kitanda cha double-deka dem akalala juu jamaa chini.
Ulipofika ucku jamaa akaanza kupanda juu mara ghafla dem akashtuka jamaa kashamaliza kupanda dem akamuuliza wewe umefata nini uku juu.
Jamaa akamjibu eti NIMEDONDOKA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] funny [emoji124][emoji124][emoji124]
Mmmh hapo hata Hilter atasubiri kwakweliThumbscrew
View attachment 371508
Hii nayo medieval period wali ilitumiwa sana kwaa jili ya kumfanya mtu a confess hii hawakulenga kuua mtu
the thumbscrew au ‘pilliwinks’ ilitumika kukata vidole na mguu wa chini lakin zilikuwepo kubwa kabsa hizo zlikuwa zina saga miguu yote au mikono yotee
Sasa ilikuwa kama husemi kitu au hu confess wana chukua mashine kubwa kabisa hiyo ina sigina au ina saga kichwa chootee
Maarifa yanakuwa siku hadi sikuKipindi hicho maarifa yalikuwa juu,ila hapakuwa na haki
Bora sisi tumezaliwa siku hizi maana mhhh ilikuwa hatariRope Torture
View attachment 371516
Hii ilitumika jwa namna mbali mbali kama vile
Kunyonga mtu
Kumtegua mikoni au miguu
Kumuachanisha mtu vipande vipande kwa kuamua kuwafinga farasi na kuwaamuru wakimbie
Na namna mbali mbali ila jua kamba matumiz ni mengi hata sku hizi wahehe tuna zitumia sana hizo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Y'all have been great na mmekuwa watulivu kipindi kumi kubwa haipo
Asante sana
Asante pia kwa my one and only Jimena Jemenes kwa support
Asante kwa kuwa now kumi kubwa is back
God bless ya
Nimefurahi hii mambo imerudi tena ni moja kati ya segment matata sana Makapuku ForumLeo tumeishia njiani
Kesho ntapanga mwendelezo halafu tuta malizia kabsa kabsaa
Ni mimi
Szczesny Carrenza de la Casa de la Fuma
Adious amigoooouw