Makapuku Forum

Makapuku Forum

The Brazen Bull
View attachment 371454
Hii ilifanyika zaid huko sicily na ugiriki ya zamani
Mtu alichukuliwa na kuwekwa ndani ya ngombe wa chuma, mwenye tumbo la bati
Moto uliwashwa chini kabisa ya tumbo hilo la ngombe wa bati, then bati linavo zidi kupata moto mtu alikuwa aki rostiwa na kulia kwa maumivu makaliii sanaa

Lakini kwa walio kuwa nje kwao haiku wasumbua kwani sauti ya maumivu ilikuwa ikisikika kama sauti ya ngombe au muungurumo wa mnyama hivo mtu alifariki kwa maumivu makaliii na kwa ku rostiwa mpaka akate roho lakin kwa walio nje ilikuwa ni burudani tosha
Duh watu wanarekodi za matukio mabaya kuliko hata Hitler
 
Impalement
1469552676693.jpg
hii ilitumiwa na Vlad the Impaler. Karne ya 15 huko Romania; watu wali kuwa wana kamatwa halafu wana ambiwa wakalie miti ilo chongwa kwa juu na hiyo huwachoma, hii huchukua mpaka siku tatu kwa muhanga kufa na bwana vlad aliwahi kuwa ua watu zaid ya 20,000 kwa siku moja huku mwenye akipga luch kama anavo onekana kwenye picha
 
The Brazen Bull
View attachment 371454
Hii ilifanyika zaid huko sicily na ugiriki ya zamani
Mtu alichukuliwa na kuwekwa ndani ya ngombe wa chuma, mwenye tumbo la bati
Moto uliwashwa chini kabisa ya tumbo hilo la ngombe wa bati, then bati linavo zidi kupata moto mtu alikuwa aki rostiwa na kulia kwa maumivu makaliii sanaa

Lakini kwa walio kuwa nje kwao haiku wasumbua kwani sauti ya maumivu ilikuwa ikisikika kama sauti ya ngombe au muungurumo wa mnyama hivo mtu alifariki kwa maumivu makaliii na kwa ku rostiwa mpaka akate roho lakin kwa walio nje ilikuwa ni burudani tosha
1469553468847.jpg
1469553482379.jpg
1469553497147.jpg
 
Heretics Fork
1469553464581.jpg

Kama muonavyo kwa picha hapo mtu aliwekewa hiyo kitu kama uma pande zote na hii na alifungiwa shingoni na alifungwa juu ya mti mfupi au tuu alisima mishwa sehem, ilikuwa ni njia ya mateso kwani haikutakiwa mtu asinzie na siku ambayo alichoka na kuiachia shingo lazima atoboke koo na kidevu na kufa
 
The Tub
View attachment 371448
Hii ilikuwa wana mchukua mtuhumiwa /mateka/ mtu yeyote alo kosa au kuvunja sheria
Wala muweka kwnye hiyo kitu ambayo ilichongwa kwa mbao tuu na kubakiza kichwa chake tuu ambapo wali mpaka usoni maziwa na asali pia walimlisha kila siku, hivo nzi wali mlamba uso wake na sukari na maziwa vlivo zidi kuganda vili mfanya mtu huyo aoze akiwa mzima

Then kwakuwa hakuwa akienda chooni bacteria na wadudu walo tokana na kinyesi chake walikuwa wakimshambulia pia kwa upande wa chini alioza, so hii ili chukua mawiki kadhaa kwa mtu huyo kufa
1469553822997.jpg
1469553830280.jpg
1469553837577.jpg
 
Impalement
View attachment 371461 hii ilitumiwa na Vlad the Impaler. Karne ya 15 huko Romania; watu wali kuwa wana kamatwa halafu wana ambiwa wakalie miti ilo chongwa kwa juu na hiyo huwachoma, hii huchukua mpaka siku tatu kwa muhanga kufa na bwana vlad aliwahi kuwa ua watu zaid ya 20,000 kwa siku moja huku mwenye akipga luch kama anavo onekana kwenye picha
1469554365747.jpg
1469554379181.jpg
1469554384660.jpg
 
Heretics Fork
View attachment 371465
Kama muonavyo kwa picha hapo mtu aliwekewa hiyo kitu kama uma pande zote na hii na alifungiwa shingoni na alifungwa juu ya mti mfupi au tuu alisima mishwa sehem, ilikuwa ni njia ya mateso kwani haikutakiwa mtu asinzie na siku ambayo alichoka na kuiachia shingo lazima atoboke koo na kidevu na kufa
1469554709548.jpg
1469554715448.jpg
1469554724540.jpg
 
```Jamaa mmoja alilala na dem kwenye kitanda cha double-deka dem akalala juu jamaa chini.
Ulipofika ucku jamaa akaanza kupanda juu mara ghafla dem akashtuka jamaa kashamaliza kupanda dem akamuuliza wewe umefata nini uku juu.
Jamaa akamjibu eti NIMEDONDOKA.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] funny [emoji124][emoji124][emoji124]
 
The Judas Cradle
1469554377896.jpg

Kwanza ilikuwa lazima mtu awe uchi kabisa ili kumuongezea aibu halafu alifungwa kamba mikono na miguu alafu alikaliwsha kwenye hiyo pembe tatu na kamva zililegezwa zaid na zaid ili kufanya "anus" yake izidi kuzamishwa na kumuumiza na kwa kuwa walikuwa hawa paoshi watu wengi hawakufa kwa maumivu bali kwa vacteria mbali mbali walo kuwa hapo hii pia ilichukua siku kadhaa mtu kukata roho
 
The Tub
View attachment 371448
Hii ilikuwa wana mchukua mtuhumiwa /mateka/ mtu yeyote alo kosa au kuvunja sheria
Wala muweka kwnye hiyo kitu ambayo ilichongwa kwa mbao tuu na kubakiza kichwa chake tuu ambapo wali mpaka usoni maziwa na asali pia walimlisha kila siku, hivo nzi wali mlamba uso wake na sukari na maziwa vlivo zidi kuganda vili mfanya mtu huyo aoze akiwa mzima

Then kwakuwa hakuwa akienda chooni bacteria na wadudu walo tokana na kinyesi chake walikuwa wakimshambulia pia kwa upande wa chini alioza, so hii ili chukua mawiki kadhaa kwa mtu huyo kufa
Huu sasa ni ugaidi
 
1469555297024.jpg

Hii naomba ni i quote ki inglish

"Usually filled with molten lead, tar, boiling water or boiling oil, it was used to torture victims by dripping the contents onto their stomach or other body parts like the eyes. Using this device the torturer would proceed to pour molten silver on the victim’s eyes which resulted in agonizing pain and eventual death".
 
Heretics Fork
View attachment 371465
Kama muonavyo kwa picha hapo mtu aliwekewa hiyo kitu kama uma pande zote na hii na alifungiwa shingoni na alifungwa juu ya mti mfupi au tuu alisima mishwa sehem, ilikuwa ni njia ya mateso kwani haikutakiwa mtu asinzie na siku ambayo alichoka na kuiachia shingo lazima atoboke koo na kidevu na kufa
Hii dunia ni zaidi ya tunavyoijua
 
The Tub
View attachment 371448
Hii ilikuwa wana mchukua mtuhumiwa /mateka/ mtu yeyote alo kosa au kuvunja sheria
Wala muweka kwnye hiyo kitu ambayo ilichongwa kwa mbao tuu na kubakiza kichwa chake tuu ambapo wali mpaka usoni maziwa na asali pia walimlisha kila siku, hivo nzi wali mlamba uso wake na sukari na maziwa vlivo zidi kuganda vili mfanya mtu huyo aoze akiwa mzima

Then kwakuwa hakuwa akienda chooni bacteria na wadudu walo tokana na kinyesi chake walikuwa wakimshambulia pia kwa upande wa chini alioza, so hii ili chukua mawiki kadhaa kwa mtu huyo kufa
Kudadadadadek
 
Back
Top Bottom