Makapuku Forum

Makapuku Forum

The Brazen Bull
View attachment 371454
Hii ilifanyika zaid huko sicily na ugiriki ya zamani
Mtu alichukuliwa na kuwekwa ndani ya ngombe wa chuma, mwenye tumbo la bati
Moto uliwashwa chini kabisa ya tumbo hilo la ngombe wa bati, then bati linavo zidi kupata moto mtu alikuwa aki rostiwa na kulia kwa maumivu makaliii sanaa

Lakini kwa walio kuwa nje kwao haiku wasumbua kwani sauti ya maumivu ilikuwa ikisikika kama sauti ya ngombe au muungurumo wa mnyama hivo mtu alifariki kwa maumivu makaliii na kwa ku rostiwa mpaka akate roho lakin kwa walio nje ilikuwa ni burudani tosha
Mh!!! Kuna watu wana roho mbaya!!! Mtu wa kurost!!!
 
View attachment 371491
Hii naomba ni i quote ki inglish

"Usually filled with molten lead, tar, boiling water or boiling oil, it was used to torture victims by dripping the contents onto their stomach or other body parts like the eyes. Using this device the torturer would proceed to pour molten silver on the victim’s eyes which resulted in agonizing pain and eventual death".
Kimalkia nacho[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Iron Maiden
1469555445429.jpg

Mi mwenye sjaelewa hii ilikuwaje lakin we elewa ilikuwa ni deadly na inaumiza
[emoji28]
 
The Judas Cradle
View attachment 371477
Kwanza ilikuwa lazima mtu awe uchi kabisa ili kumuongezea aibu halafu alifungwa kamba mikono na miguu alafu alikaliwsha kwenye hiyo pembe tatu na kamva zililegezwa zaid na zaid ili kufanya "anus" yake izidi kuzamishwa na kumuumiza na kwa kuwa walikuwa hawa paoshi watu wengi hawakufa kwa maumivu bali kwa vacteria mbali mbali walo kuwa hapo hii pia ilichukua siku kadhaa mtu kukata roho
1469555737615.jpg
1469555747132.jpg

Picha mbaya sana.....naheshimu maadili
...........
 
Coffin Torture
1469555816919.jpg

Hii ilikuwa ndo wana ipenda zaid watu wa zama za giza aka medieval period walikuwa wana kuchukua wana kuweka kwemye kisanduku ambacho kina kufiti wana kutundika kwenye mti au juu ya paa then wana kuacha hapo ambapo kunguru au mweweau ndege wa aina yyte ata kutafuna ukiwa hai au ukiwa umekufa kwa njaa hii ilikuwa hataree
 
Coffin Torture View attachment 371503
Hii ilikuwa ndo wana ipenda zaid watu wa zama za giza aka medieval period walikuwa wana kuchukua wana kuweka kwemye kisanduku ambacho kina kufiti wana kutundika kwenye mti au juu ya paa then wana kuacha hapo ambapo kunguru au mweweau ndege wa aina yyte ata kutafuna ukiwa hai au ukiwa umekufa kwa njaa hii ilikuwa hataree
1469556403295.jpg
1469556418040.jpg
 
Thumbscrew
1469556211409.jpg

Hii nayo medieval period wali ilitumiwa sana kwaa jili ya kumfanya mtu a confess hii hawakulenga kuua mtu
the thumbscrew au ‘pilliwinks’ ilitumika kukata vidole na mguu wa chini lakin zilikuwepo kubwa kabsa hizo zlikuwa zina saga miguu yote au mikono yotee

Sasa ilikuwa kama husemi kitu au hu confess wana chukua mashine kubwa kabisa hiyo ina sigina au ina saga kichwa chootee
 
Coffin Torture View attachment 371503
Hii ilikuwa ndo wana ipenda zaid watu wa zama za giza aka medieval period walikuwa wana kuchukua wana kuweka kwemye kisanduku ambacho kina kufiti wana kutundika kwenye mti au juu ya paa then wana kuacha hapo ambapo kunguru au mweweau ndege wa aina yyte ata kutafuna ukiwa hai au ukiwa umekufa kwa njaa hii ilikuwa hataree
Walikuwa na roho mbaya saana, bila huruma
 
Rope Torture
1469556518041.jpg

Hii ilitumika jwa namna mbali mbali kama vile

Kunyonga mtu
Kumtegua mikoni au miguu
Kumuachanisha mtu vipande vipande kwa kuamua kuwafinga farasi na kuwaamuru wakimbie

Na namna mbali mbali ila jua kamba matumiz ni mengi hata sku hizi wahehe tuna zitumia sana hizo
 
Thumbscrew
View attachment 371508
Hii nayo medieval period wali ilitumiwa sana kwaa jili ya kumfanya mtu a confess hii hawakulenga kuua mtu
the thumbscrew au ‘pilliwinks’ ilitumika kukata vidole na mguu wa chini lakin zilikuwepo kubwa kabsa hizo zlikuwa zina saga miguu yote au mikono yotee

Sasa ilikuwa kama husemi kitu au hu confess wana chukua mashine kubwa kabisa hiyo ina sigina au ina saga kichwa chootee
1469557027536.jpg
1469557041685.jpg
 
Back
Top Bottom