Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,652
- 25,849
huyu J-lo ana umri wa kunizaa kabisa.. ila kwa hiyo figa"Akinipa nakulaga

huyu J-lo ana umri wa kunizaa kabisa.. ila kwa hiyo figa"

Leo katika Historia:
2013 - Garry Davis anafariki dunia.
Alikuwa ni rubani maarufu toka nchini Marekani.
Ndiye aliyeanzisha Mfumo wa kutumia Passport unapotoka nchi moja kwenda nyingine.
Miaka inaenda! Huyu Rais ashalala miaka minne futi sita!!!Leo katika Historia:
2012 - John Atta Mills anafariki Dunia.
Alikuwa ni Rais wa 3 wa Ghana.
Leo katika Historia:
Ni siku ya jeshi la wanamaji ( Navy )nchini Venezuela.
KaribuAm a new here.
Afu unakuta kuna watu wanajulikana kuliko hata huyu aliyefanya ugunduzi muhimu kabisa kama huu kwenye secta ya afyaLeo katika Historia:
2012 - Robert Ledley anafariki Dunia.
Ni mgunduzi wa kifaa cha Ct Scan toka nchini Marekani.
So what?Hii Siredi naona siku hizi imekua ya "Leo katika historia".......
Aje aje mukulu, za jumapili?Hello this home.
Hainaga ushemejihuyu J-lo ana umri wa kunizaa kabisa.. ila kwa hiyo figa"
Akinipa nakulaga![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwani we unaumia nini?Hii Siredi naona siku hizi imekua ya "Leo katika historia".......
huyu J-lo ana umri wa kunizaa kabisa.. ila kwa hiyo figa"
Akinipa nakulaga![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()



huyo bibi hazeeki aisee, bado anamvuto kabisaJide aliwahi kutuambia " Siku hazigandi "Miaka inaenda! Huyu Rais ashalala miaka minne futi sita!!!
Nenda Ikulu kamuulize John MapombeView attachment 370212View attachment 370214Hivi tized tuna madude kama haya???
Umekosea njia bobHii Siredi naona siku hizi imekua ya "Leo katika historia".......
Ni kweli mkuu, yaani unakuta wanajulikana ni watu waovu tu lakini mashujaa kama hawa hawaimbwi.Afu unakuta kuna watu wanajulikana kuliko hata huyu aliyefanya ugunduzi muhimu kabisa kama huu kwenye secta ya afya
Kwani we unaumia nini?