Makapuku Forum

Mwanariadha mwenye kasi zaidi Duniani anayeshikilia ubingwa wa Dunia na ule wa Olympic Usain Bolt,bado hajakata tamaa ya kuitumikia Manchester United.

Bolt amejisifu kuwa anajua kucheza soka na anauweza kwa kiasi kikubwa sana, isipokuwa riadha ilimtoa mapema.

Je akisajiliwa Manchester United atacheza no? Au atakuwa anakimbia kimbia tu?

Cc,jimena, bitoz
 
Habari ya kindezi

.......
 
Bolt ye angekimbia tu maswala ya soka awaachie akina Bale
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…