Kuna movie moja ya kizamani wanadai ni true story jamaa mmoja ali-invent ile 'blink eye' motion ya wiper za gari, ford waliiba idea yake na kuwa wa kwanza kuiweka kwenye magari yaoKumbe Ford nao wa zamaniii
R I P Bruce Lee hivi ndo huyu alikufa wakati wanaigiza?Leo katika Historia:
1973 - Bruce Lee anafariki Dunia.
Mmoja kati ya wacheza martial arts bora wa wakati wote. Pia ni mcheza movie za mapigano.
Leo katika Historia:
1982 - Okot P. Bitek mwanafasihi toka nchini Uganda anafariki.
Moja kati ya kazi zake ni Song of Lawino.
Wamekula chumvi ya kutosha!!Kumbe Ford nao wa zamaniii
Carlos Santana
Baadhi ya maofisa wake ndani ya jeshi la Nazi.Mhh alinusurika kuuwawa na nani tena huyu mbabe?
Leo katika Historia:
2015 - Marekani na Cuba wanaanzisha upya mahusiano yao ya kidiplomasia baada ya kuvunjika kwa miaka 50 iliyopita.
Mi niko poa kabisa, jana ndo itakua mwisho kudandia sandakalawe yetu ya vocha tutakuja na strategy mpya ya kuwazuia mamluki kuzinasaHaha haha me mzimaaa sjui wewe
Ila Afrikanayo ilikuwa na wapiga gitaa maarufu kama Daly Kimoko na Diblo Dibala
Tunaita copy n paste!!Kuna movie moja ya kizamani wanadai ni true story jamaa mmoja ali-invent ile 'blink eye' motion ya wiper za gari, ford waliiba idea yake na kuwa wa kwanza kuiweka kwenye magari yao
Leo katika Historia:
Ni siku ya Wahandisi ( Engineers) nchini Costa rica.
Tukutane kesho kwa Udhamini mnono wa Bitoz mzee wa Mapicha picha.
Hasta la Vista...
Historia ya leo imekaa vizuri sana nimeipendaTukutane kesho kwa Udhamini mnono wa Bitoz mzee wa Mapicha picha.
Hasta la Vista...
Hawa hawatakuwa na urafiki wa ukweli urafiki wao ni wa kinafiki tuLeo katika Historia:
2015 - Marekani na Cuba wanaanzisha upya mahusiano yao ya kidiplomasia baada ya kuvunjika kwa miaka 50 iliyopita.
Kifo chake ni moja ya vifo tata vilivyowahi kutokea Duniani.R I P Bruce Lee hivi ndo huyu alikufa wakati wanaigiza?
Ha ha ha ha yule jamaa ilikua ukimkosa inabidi ujiue mwenyewe mapema maana huwa hafanyi ajiziAliemkosa nae hakuwa na shabaha
Pamoja sana mkuu!!Historia ya leo imekaa vizuri sana nimeipenda
Hahaha...Mzee wa 100k nisingecheza mbali.Ingekuwa 100k Mussolin5 angekuwepo